From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
wakisema, "hakika bwana amefufuka, amemtokea simoni."
welche sprachen: der herr ist wahrhaftig auferstanden und simon erschienen.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
hayuko hapa; amefufuka. kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule galilaya:
er ist nicht hier; er ist auferstanden. gedenket daran, wie er euch sagte, da er noch in galiläa war
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. njoni mkaone mahali alipokuwa amelala.
er ist nicht hier; er ist auferstanden, wie er gesagt hat. kommt her und seht die stätte, da der herr gelegen hat.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
walipokuwa wakishuka mlimani, yesu aliwakataza wasimwambie mtu yeyote mambo waliyoyaona, mpaka mwana wa mtu atakapokuwa amefufuka kutoka wafu.
da sie aber vom berge herabgingen, verbot ihnen jesus, daß sie niemand sagen sollten, was sie gesehen hatten, bis des menschen sohn auferstünde von den toten.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini herode alipopata habari hizi alisema, "huyu ni yohane! nilimkata kichwa, lakini amefufuka."
da es aber herodes hörte, sprach er: es ist johannes, den ich enthauptet habe; der ist von den toten auferstanden.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini huyo kijana akawaambia, "msishangae. mnamtafuta yesu wa nazareti aliyesulubiwa. amefufuka, hayumo hapa. tazameni mahali walipokuwa wamemlaza.
er aber sprach zu ihnen: entsetzt euch nicht! ihr sucht jesus von nazareth, den gekreuzigten; er ist nicht hier. siehe da die stätte, da sie ihn hinlegten!
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuka kutoka wafu, na sasa anawatangulieni kule galilaya; huko mtamwona. haya, mimi nimekwisha waambieni."
und gehet eilend hin und sagt es seinen jüngern, daß er auferstanden sei von den toten. und siehe, er wird vor euch hingehen nach galiläa; da werdet ihr ihn sehen. siehe, ich habe es euch gesagt.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
nao wakamjibu, "wengine wanasema kuwa wewe ni yohane mbatizaji, wengine wanasema wewe ni eliya, hali wengine wanasema kuwa wewe ni mmoja wa manabii wa kale ambaye amefufuka."
sie antworteten und sprachen: sie sagen, du seist johannes der täufer; etliche aber, du seist elia; etliche aber, es sei der alten propheten einer auferstanden.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, mfalme herode alisikia juu ya hayo yote, maana sifa za yesu zilienea kila mahali. baadhi ya watu walikuwa wakisema, "yohane mbatizaji amefufuka kutoka wafu, ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."
und es kam vor den könig herodes (denn sein name war nun bekannt) und er sprach: johannes der täufer ist von den toten auferstanden, darum tut er solche taten.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
Some human translations with low relevance have been hidden.
Show low-relevance results.