From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
mtu aliye juu ya paa la nyumba asishuke kuingia nyumbani mwake kuchukua kitu.
ואשר על הגג אל ירד הביתה ואל יבא פנימה לשאת דבר מביתו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, ndugu, kwa damu ya yesu tunapewa moyo thabiti wa kuingia mahali patakatifu.
ועתה אחי בהיות לנו בטחון דרך הקדש בדם ישוע׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
alipouacha umati wa watu na kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza maana ya huo mfano.
ויהי כאשר שב הביתה מן ההמון וישאלהו תלמידיו על דבר המשל׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mipango hiyo ilitekelezwa kisha ikawa desturi kwa makuhani kuingia kila siku katika hema ya nje kutoa huduma zao.
ואחרי שהוכנו אלה ככה באו הכהנים תמיד אל המשכן החיצון לעבד שם את עבודתם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa namna hiyo mtafaulu kupewa haki kamili ya kuingia katika utawala wa milele wa bwana na mwokozi wetu yesu kristo.
כי כן יפתח לפניכם לרוחה המבוא אל מלכות עולם אשר לאדנינו ומושיענו ישוע המשיח׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu ametangulia kuingia humo kwa niaba yetu, na amekuwa kuhani mkuu milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa melkisedeki.
אשר בא שמה ישוע העבר לפנינו ויהי כהן גדול לעולם על דברתי מלכי צדק׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kutokana na taratibu hizo roho mtakatifu anafundisha wazi kwamba wakati ile hema ya nje ingali ipo imesimama, njia ya kuingia mahali patakatifu haijafunguliwa.
ורוח הקדש מודיע בזאת כי לא נגלה הדרך אל הקדש כל הימים אשר המשכן החיצון יש לו לעמד׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
sisi tunajua kwamba tumekwisha pita kutoka katika kifo na kuingia katika uzima kwa sababu tunawapenda ndugu zetu. mtu asiye na upendo hubaki katika kifo.
אנחנו ידענו כי עברנו מן המות אל החיים על כי נאהב את אחינו איש אשר לא יאהב את אחיו ישאר במות׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ndugu zangu, msinung'unikiane ninyi kwa ninyi msije mkahukumiwa na mungu. hakimu yu karibu, tayari kuingia.
אחי אל תתאוננו איש על רעהו פן תשפטו הנה השופט עמד לפתח׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akawaambia, "jitahidini kuingia kwa kupitia mlango mwembamba; maana nawaambieni, wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.
ויאמר אליהם התאמצו לבוא בפתח הצר כי אמר אני לכם רבים יבקשו לבוא ולא יוכלו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mkono wako ukikukosesha, ukate! afadhali kuingia kwenye uzima bila mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili na kwenda katika moto wa jehanamu.
ואם ידך תכשילך קצץ אתה טוב לך לבוא קטע לחיים מהיות לך שתי ידים ותלך אל גיהנם אל האש אשר לא תכבה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
walipofika huko antiokia walifanya mkutano wa kanisa la mahali hapo, wakawapa taarifa juu ya mambo mungu aliyofanya pamoja nao, na jinsi alivyowafungulia mlango watu wa mataifa mengine mlango wa kuingia katika imani.
ובבאם שמה הקהילו את העדה ויגידו את כל אשר עשה אתם האלהים ואת אשר פתח לגוים פתח האמונה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akamwambia, "mbona unaniuliza kuhusu jambo jema? kuna mmoja tu aliye mwema. ukitaka kuingia katika uzima, shika amri."
ויאמר אליו מה תקראני טוב אין טוב כי אם אחד האלהים ואם חפצך לבוא אל החיים שמר את המצות׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu alisema "kweli nawaambieni, yeyote yule asiyeingia katika zizi la kondoo kwa kupitia mlangoni, bali hupenya na kuingia kwa njia nyingine, huyo ni mwizi na mnyang'anyi.
אמן אמן אני אמר לכם איש אשר לא יבוא דרך השער אל מכלא הצאן כי אם יעלה בדרך אחר גנב ופריץ הוא׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa shetani, wamgeukie mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa mungu.
לפקח את עיניהם למען ישובו מחשך לאור ומיד השטן אל האלהים וימצאו באמונתם בי את סליחת החטאים ואת הנחלה בתוך המקדשים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: