Results for unabii translation from Swahili to Hebrew

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

Hebrew

Info

Swahili

msidharau unabii.

Hebrew

את הנבואות לא תמאסו׃

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

alikuwa na binti watatu ambao walikuwa na kipaji cha unabii.

Hebrew

ולו היו ארבע בנות בתולות מתנבאות׃

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

basi, tunavyo vipaji mbalimbali kufuatana na neema tuliyopewa. mwenye kipaji cha unabii na akitumie kadiri ya imani yake.

Hebrew

ויש לנו מתנות שנות כפי החסד הנתן לנו אם נבואה תהי כפי מדת האמונה׃

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

"sikiliza! naja upesi. heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki."

Hebrew

הנני בא מהר אשרי השמר את דברי נבואת הספר הזה׃

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

tena akaniambia, "usiyafiche kama siri maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.

Hebrew

ויאמר אלי אל תחתם את דברי נבואת הספר הזה כי קרוב המועד׃

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

mwanangu timotheo, nakukabidhi amri hii kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. yatumie maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri,

Hebrew

את המצוה הזאת אני מצוך בני טימותיוס כפי הנבואות הקדמות עליך שתלחם לפיהן המלחמה הטובה׃

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

mimi yohane nawapa onyo wote wanaosikia maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki: mtu yeyote akiongeza chochote katika mambo haya, mungu atamwongezea mabaa yaliyoandikwa katika kitabu hiki.

Hebrew

מעיד אני בכל השמע דברי נבואת הספר הזה אם יוסיף איש עליהם יוסיף עליו האלהים את המכות הכתובות בספר הזה׃

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, mungu atamnyang'anya sehemu yake katika ule mti wa uzima, na sehemu yake katika mji mtakatifu, ambavyo vimeelezwa katika kitabu hiki.

Hebrew

ואם יגרע איש מדברי ספר הנבואה הזאת יגרע האלהים את לחקו מעץ החיים ומעיר הקדש הכתובים בספר הזה׃

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Get a better translation with
8,906,644,931 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK