From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yesu alipokwisha pokea hiyo siki, akasema, "yametimia!" kisha akainama kichwa, akatoa roho.
ויקח ישוע את החמץ ויאמר כלה ויט את ראשו ויפקד את רוחו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kwao yametimia yale aliyosema nabii isaya: kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; kutazama mtatazama, lakini hamtaona.
ותקים בהם נבואת ישעיהו האמרת שמעו שמוע ואל תבינו וראו ראו ואל תדעו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kweli nawaambieni, mpaka hapo mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata nukta moja au sehemu ndogo kabisa ya sheria itakayoondolewa, mpaka yote yametimia.
כי אמן אמר אני לכם עד כי יעברו השמים והארץ לא תעבר יוד אחת או קוץ אחד מן התורה עד אשר יעשה הכל׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alijua kwamba yote yalikuwa yametimia; na, ili maandiko matakatifu yapate kutimia, akasema, "naona kiu."
ויהי מאחרי כן כאשר ידע ישוע כי עתה זה כלה הכל למען ימלא הכתוב כלו אמר צמאתי׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kisha akaniambia, "yametimia! mimi ni alfa na omega, mwanzo na mwisho. aliye na kiu nitampa kinywaji cha bure kutoka katika chemchemi ya maji ya uzima.
ויאמר אלי היה נהיתה אני האלף והתו הראש והסוף אני אתן לצמא ממעין מים חיים חנם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting