From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
tunaunga mkono michakato wazi na shirikishi ya kutengeneza sera ya mtandao na uanzishaji wa kanuni tano za msingi:
sosteniamo la trasparenza e il processo di partecipazione per tutelare internet stabilendo cinque princìpi base:
nafasi tano za ugavana zilikuwa zikigombaniwa, kwa mara ya kwanza tangu vladimir putin kufutilia mbali chaguzi kama hizo miaka saba iliyopita.
anche cinque posti da governatore erano in gioco, per la prima volta da quando vladimir putin aveva cancellato queste elezioni sette anni fa.
oronoz rodríguez, ambaye anakuwa mwanamke wa tano kuitumikia mahakama kuu, alitoa shukrani zake kupitia tamko la maandishi :
oronoz rodríguez, la quinta donna a prestare servizio alla corte suprema, ha espresso la propria gratitudine ed orgoglio in una dichiarazione scritta :
alihojiwa na kuteswa kwa siku tano na kikosi cha usalama cha military branch 215. alihamishwa kwenye kwenye kitengo cha mahojiano namba 248 na hakuruhusiwa kuonana na watu kwa miezi tisa.
dopo essere stato interrogato e torturato per cinque giorni dal ramo militare 215, è stato trasferito al ramo della divisione interrogatori 248, dove è rimasto detenuto ed irraggiungibile per nove mesi.
kwani! ikiwa mtavumilia na mkamchamngu na hata maadui wakikutokeeni kwa ghafla, basi hapo mola wenu mlezi atakusaidieni kwa malaika elfu tano wanao shambulia kwa nguvu.
anzi, se sarete pazienti e pii, quando i nemici verranno contro di voi, il vostro signore vi manderà l'ausilio di cinquemila angeli guerrieri.
mungu akaendelea kusema: “maji na yajawe na nafsi hai na viumbe vinavyoruka viruke juu ya dunia kwenye uso wa anga la mbingu.” mungu akaanza kuumba wanyama wakubwa mno wa baharini na kila nafsi hai inayotembea, wakajaa majini kulingana na aina zake, na kila kiumbe kinachoruka chenye mabawa kulingana na aina yake. kisha mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema. halafu mungu akawabariki, akisema: “zaeni, muwe wengi na kujaza maji yaliyo katika mabonde ya bahari, na viumbe vinavyoruka na viwe vingi duniani.” ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya tano
e dio proseguì, dicendo: “brulichino le acque di un brulichio di anime viventi* e volino creature volatili sopra la terra sulla faccia della distesa dei cieli”. e dio creava* i grandi mostri marini e ogni anima vivente che si muove, di cui le acque brulicarono secondo le loro specie, e ogni alata creatura volatile secondo la sua specie. e dio vedeva che [era] buono. allora dio li benedisse, dicendo: “siate fecondi e moltiplicatevi e riempite le acque dei bacini dei mari, e le creature volatili si moltiplichino sulla terra”. e si faceva sera e si faceva mattina, un quinto giorno.
Last Update: 2013-03-02
Usage Frequency: 2
Quality:
Reference: