Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi ya kitani,
ヨセフは死体を受け取って、きれいな亜麻布に包み、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mwishowe, mfalme mmoja ambaye hakumtambua yosefu alianza kutawala huko misri.
やがて、ヨセフのことを知らない別な王が、エジプトに起った。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yakobo alimzaa yosefu, aliyekuwa mume wake maria, mama yake yesu, aitwaye kristo.
ヤコブはマリヤの夫ヨセフの父であった。このマリヤからキリストといわれるイエスがお生れになった。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hivyo, yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
ヨセフは眠りからさめた後に、主の使が命じたとおりに、マリヤを妻に迎えた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini hakumjua kamwe kimwili hata maria alipojifungua mtoto wa kiume. naye yosefu akampa jina yesu.
しかし、子が生れるまでは、彼女を知ることはなかった。そして、その子をイエスと名づけた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
katika safari yao ya pili, yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na farao akaifahamu jamaa ya yosefu.
二回目の時に、ヨセフが兄弟たちに、自分の身の上を打ち明けたので、彼の親族関係がパロに知れてきた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
miongoni mwao walikuwa maria magdalene, maria mama yao yakobo na yosefu, pamoja na mama yao wana wa zebedayo.
その中には、マグダラのマリヤ、ヤコブとヨセフとの母マリヤ、またゼベダイの子たちの母がいた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa imani yakobo alipokuwa karibu kufa, aliwabariki kila mmoja wa wana wa yosefu, akamwabudu mungu akiegemea ile fimbo yake.
信仰によって、ヤコブは死のまぎわに、ヨセフの子らをひとりびとり祝福し、そしてそのつえのかしらによりかかって礼拝した。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
heli alikuwa mwana wa mathati, mwana wa lawi, mwana wa melki, mwana wa yanai, mwana wa yosefu,
それから、さかのぼって、マタテ、レビ、メルキ、ヤンナイ、ヨセフ、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. wakanena, "je, huyu si mwana wa yosefu?"
すると、彼らはみなイエスをほめ、またその口から出て来るめぐみの言葉に感嘆して言った、「この人はヨセフの子ではないか」。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
siku zilipotimia za yosefu na maria kutakaswa kama walivyotakiwa na sheria ya mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye yerusalemu ili wamweke mbele ya bwana.
それから、モーセの律法による彼らのきよめの期間が過ぎたとき、両親は幼な子を連れてエルサレムへ上った。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kabila la zabuloni, kumi na mbili elfu; kabila la yosefu, kumi na mbili elfu, na kabila la benyamini, kumi na mbili elfu.
ゼブルンの部族のうち、一万二千人、ヨセフの部族のうち、一万二千人、ベニヤミンの部族のうち、一万二千人が印をおされた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hapo yosefu akanunua sanda ya kitani, akauteremsha chini huo mwili, akauzungushia sanda. akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa mwambani, kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango.
そこで、ヨセフは亜麻布を買い求め、イエスをとりおろして、その亜麻布に包み、岩を掘って造った墓に納め、墓の入口に石をころがしておいた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
je, huyu si yule mwana wa seremala? je, mama yake si anaitwa maria, na ndugu zake si kina yakobo, yosefu, simoni na yuda?
この人は大工の子ではないか。母はマリヤといい、兄弟たちは、ヤコブ、ヨセフ、シモン、ユダではないか。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wakasema, "je, huyu si mwana wa yosefu? tunawajua baba yake na mama yake! basi, anawezaje kusema kwamba ameshuka kutoka mbinguni?"
そして言った、「これはヨセフの子イエスではないか。わたしたちはその父母を知っているではないか。わたしは天から下ってきたと、どうして今いうのか」。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
hapo akaja yosefu mwenyeji wa armathaya, mjumbe wa baraza kuu, aliyeheshimika sana. yeye pia alikuwa anatazamia kuja kwa ufalme wa mungu. basi, alimwendea pilato bila uoga, akaomba apewe mwili wa yesu.
アリマタヤのヨセフが大胆にもピラトの所へ行き、イエスのからだの引取りかたを願った。彼は地位の高い議員であって、彼自身、神の国を待ち望んでいる人であった。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kulikuwa na mlawi mmoja, mzaliwa wa kupro, jina lake yosefu, ambaye mitume walimwita jina barnaba (maana yake, "mtu mwenye kutia moyo").
クプロ生れのレビ人で、使徒たちにバルナバ(「慰めの子」との意)と呼ばれていたヨセフは、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting