From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha denari mia tatu, wakapewa maskini!" wakamkemea huyo mama.
poterat enim unguentum istud veniri plus quam trecentis denariis et dari pauperibus et fremebant in ea
kisha akamwamuru yule jemadari amweke paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake.
iussitque centurioni custodiri eum et habere requiem nec quemquam prohibere de suis ministrare e
maana mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. tunajua kwamba katika ile siku ya bwana yesu mtaweza kutuonea sisi fahari kama nasi tunavyowaonea ninyi fahari.
sicut et cognovistis nos ex parte quia gloria vestra sumus sicut et vos nostra in die domini nostri iesu christ
waumini wa huko walijaribiwa sana kwa taabu; lakini furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu kupita kiasi, ingawaje walikuwa maskini sana.
quod in multo experimento tribulationis abundantia gaudii ipsorum et altissima paupertas eorum abundavit in divitias simplicitatis eoru
hapo palikuwa na mitungi sita ya mawe, ambayo kila mmoja uliweza kuchukua kiasi cha madebe mawili au matatu. ilikuwa imewekwa hapo kufuatana na desturi ya kiyahudi ya kutawadha.
erant autem ibi lapideae hydriae sex positae secundum purificationem iudaeorum capientes singulae metretas binas vel terna
lakini, kusudi mambo haya makuu niliyofunuliwa yasinifanye nilewe majivuno, nilipewa maumivu mwilini kama mwiba, mjumbe wa shetani mwenye kunipiga nisijivune kupita kiasi.
et ne magnitudo revelationum extollat me datus est mihi stimulus carnis meae angelus satanae ut me colaphize
kutokana na neema aliyonijalia mungu, nawaambieni ninyi nyote: msijione kuwa ni kitu zaidi kuliko mnavyopaswa kuwa. fikira zenu na ziwe na kiasi kufuatana na kipimo cha imani mungu aliyomgawia kila mmoja.
dico enim per gratiam quae data est mihi omnibus qui sunt inter vos non plus sapere quam oportet sapere sed sapere ad sobrietatem unicuique sicut deus divisit mensuram fide
isije ikawa kwamba watu wa makedonia watakapokuja pamoja nami tukawakuta hamko tayari, hapo sisi tutaaibika--bila kutaja aibu mtakayopata ninyi wenyewe--kwa sababu tutakuwa tumewatumainia kupita kiasi.
ne cum venerint mecum macedones et invenerint vos inparatos erubescamus nos ut non dicamus vos in hac substanti
basi, kiongozi wa kanisa anapaswa awe mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha;
oportet ergo episcopum inreprehensibilem esse unius uxoris virum sobrium prudentem ornatum hospitalem doctore