From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa maandiko matakatifu.
tunc aperuit illis sensum ut intellegerent scriptura
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini yatatimiaje maandiko matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?"
quomodo ergo implebuntur scripturae quia sic oportet fier
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.
et incipiens a mose et omnibus prophetis interpretabatur illis in omnibus scripturis quae de ipso eran
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:
et huic concordant verba prophetarum sicut scriptum es
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kama maandiko matakatifu yasemavyo: "yakobo nilimpenda, lakini esau nilimchukia."
sicut scriptum est iacob dilexi esau autem odio habu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa desturi yake akajadiliana nao sabato tatu mfululizo, akatumia maandiko matakatifu.
secundum consuetudinem autem paulus introivit ad eos et per sabbata tria disserebat eis de scripturi
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
(walikuwa bado hawajaelewa maandiko matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).
nondum enim sciebant scripturam quia oportet eum a mortuis resurger
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mungu aliwaita miungu wale waliopewa neno lake; nasi twajua kwamba maandiko matakatifu yasema ukweli daima.
si illos dixit deos ad quos sermo dei factus est et non potest solvi scriptur
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani maandiko matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.
dum venio adtende lectioni exhortationi doctrina
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
maana yote yalioandikwa yameandikwa kwa ajili ya kutufundisha sisi ili kutokana na saburi na faraja tupewayo na maandiko hayo matakatifu tupate kuwa na matumaini.
quaecumque enim scripta sunt ad nostram doctrinam scripta sunt ut per patientiam et consolationem scripturarum spem habeamu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akawajibu, "je, hamkusoma katika maandiko matakatifu kwamba mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke,
qui respondens ait eis non legistis quia qui fecit ab initio masculum et feminam fecit eo
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mimi niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea: kwamba kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na maandiko matakatifu;
tradidi enim vobis in primis quod et accepi quoniam christus mortuus est pro peccatis nostris secundum scriptura
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
myahudi mmoja aitwaye apolo, mzaliwa wa aleksandria, alifika efeso. alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa maandiko matakatifu.
iudaeus autem quidam apollo nomine alexandrinus natione vir eloquens devenit ephesum potens in scripturi
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
na watu watahubirije kama hawakutumwa? kama yasemavyo maandiko matakatifu: "ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri habari njema!"
quomodo vero praedicabunt nisi mittantur sicut scriptum est quam speciosi pedes evangelizantium pacem evangelizantium bon
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
maandiko matakatifu yesema hivi, "ujumbe huo wa mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako" nao ndio ile imani tunayoihubiri.
sed quid dicit prope est verbum in ore tuo et in corde tuo hoc est verbum fidei quod praedicamu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, yesu alikwenda nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. akasimama ili asome maandiko matakatifu kwa sauti.
et venit nazareth ubi erat nutritus et intravit secundum consuetudinem suam die sabbati in synagogam et surrexit leger
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
si tamen legem perficitis regalem secundum scripturas diliges proximum tuum sicut te ipsum bene faciti
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata mose alithibitisha jambo hilo katika maandiko matakatifu. katika sehemu ya maandiko matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja bwana kama mungu wa abrahamu, isaka na yakobo.
quia vero resurgant mortui et moses ostendit secus rubum sicut dicit dominum deum abraham et deum isaac et deum iaco
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kadhalika nanyi vijana mnapaswa kujiweka chini ya mamlaka ya wazee. ninyi nyote mnapaswa kuwa na unyenyekevu mpate kutumikiana; maana maandiko matakatifu yasema: "mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwajalia neema wanyenyekevu."
similiter adulescentes subditi estote senioribus omnes autem invicem humilitatem insinuate quia deus superbis resistit humilibus autem dat gratia
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting