From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
haya ninayowaandikieni, mungu anajua; sisemi uongo.
quae autem scribo vobis ecce coram deo quia non mentio
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.
et a veritate quidem auditum avertent ad fabulas autem convertentu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.
et multi pseudoprophetae surgent et seducent multo
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha wengine walisimama, wakatoa ushahidi wa uongo wakisema:
et quidam surgentes falsum testimonium ferebant adversus eum dicente
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
watu wengi walitoa ushahidi wa uongo juu ya yesu, lakini ushahidi wao haukupatana.
multi enim testimonium falsum dicebant adversus eum et convenientia testimonia non eran
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
msiambiane uongo, kwani ninyi mmekwisha vua ule utu wa kale pamoja na matendo yake yote,
nolite mentiri invicem expoliantes vos veterem hominem cum actibus eiu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
maana, hao ni mitume wa uongo, wafanyakazi wadanganyifu wanojisingizia kuwa mitume wa kristo.
nam eiusmodi pseudoapostoli operarii subdoli transfigurantes se in apostolos christ
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
huyo mwovu atakuja na nguvu za shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo,
eum cuius est adventus secundum operationem satanae in omni virtute et signis et prodigiis mendacibu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hata kutoka miongoni mwenu watatokea watu ambao watasema mambo ya uongo ili kuwapotosha watu na kuwafanya wawafuate wao tu.
et ex vobis ipsis exsurgent viri loquentes perversa ut abducant discipulos post s
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mungu na baba wa bwana yesu--jina lake litukuzwe milele--yeye anajua kwamba sisemi uongo.
deus et pater domini iesu scit qui est benedictus in saecula quod non mentio
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
maana moyoni hutoka mawazo maovu yanayosababisha uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa.
de corde enim exeunt cogitationes malae homicidia adulteria fornicationes furta falsa testimonia blasphemia
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu na wote wanaopenda kusema uongo, watakaa nje ya mji.
foris canes et venefici et inpudici et homicidae et idolis servientes et omnis qui amat et facit mendaciu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
maana watatokea kina kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa mungu, kama ikiwezekana.
exsurgent enim pseudochristi et pseudoprophetae et dabunt signa et portenta ad seducendos si potest fieri etiam electo
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini naogopa kwamba, kama vile yule nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya hawa, fikira zenu zaweza kupotoshwa, mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa kristo.
timeo autem ne sicut serpens evam seduxit astutia sua ita corrumpantur sensus vestri et excidant a simplicitate quae est in christ
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wanaubadili ukweli juu ya mungu kwa uongo; wanaheshimu na kuabudu kiumbe badala ya muumba mwenyewe, ambaye ndiye astahiliye sifa milele! amina.
qui commutaverunt veritatem dei in mendacio et coluerunt et servierunt creaturae potius quam creatori qui est benedictus in saecula ame
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye mambo ya kuchukiza au ya uongo hataingia humo. ni wale tu walioandikwa katika kitabu cha uzima cha mwanakondoo ndio watakaoingia ndani.
nec intrabit in ea aliquid coinquinatum et faciens abominationem et mendacium nisi qui scripti sunt in libro vitae agn
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini ninyi, watoto, ni wake mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.
vos ex deo estis filioli et vicistis eos quoniam maior est qui in vobis est quam qui in mund
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.
quae sunt rationem quidem habentia sapientiae in superstitione et humilitate et ad non parcendum corpori non in honore aliquo ad saturitatem carni
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti.
et adprehensa est bestia et cum illo pseudopropheta qui fecit signa coram ipso quibus seduxit eos qui acceperunt caracterem bestiae qui et adorant imaginem eius vivi missi sunt hii duo in stagnum ignis ardentis sulphur
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: