From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
waliposikia akiongea nao kwa kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. naye paulo akaendelea kusema,
ora, quando ouviram que lhes falava em língua hebraica, guardaram ainda maior silêncio. e ele prosseguiu.
yule mkuu wa jeshi akamruhusu. hivyo paulo alisimama juu ya ngazi, akawapungia mkono wale watu na walipokaa kimya, akaanza kuongea nao kwa kiebrania.
e, havendo-lho permitido o comandante, paulo, em pé na escada, fez sinal ao povo com a mão; e, feito grande silêncio, falou em língua hebraica, dizendo:
wayahudi wengi waliisoma ilani hiyo, maana mahali hapo aliposulubiwa yesu palikuwa karibu na mji. tena ilani hiyo ilikuwa imeandikwa kwa kiebrania, kilatini, na kigiriki.
muitos dos judeus, pois, leram este título; porque o lugar onde jesus foi crucificado era próximo da cidade; e estava escrito em hebraico, latim e grego.
sisi sote tulianguka chini, nami nikasikia sauti ikiniambia kwa kiebrania: saulo, saulo! kwa nini unanitesa? unajiumiza bure kama punda anayepiga teke fimbo ya bwana wake.
e, caindo nós todos por terra, ouvi uma voz que me dizia em língua hebráica: saulo, saulo, por que me persegues? dura coisa te é recalcitrar contra os aguilhões.
yesu akamwambia, "maria!" naye maria akageuka, akamwambia kwa kiebrania, "raboni" (yaani "mwalimu").
disse-lhe jesus: maria! ela, virando-se, disse-lhe em hebraico: raboni! - que quer dizer, mestre.