De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
אהה מה לנו ולך ישוע הנצרי באת להאבידנו ידעתי מי אתה קדוש האלהים׃
akapaaza sauti, "una nini nasi, wewe yesu wa nazareti? je, umekuja kutuangamiza? najua wewe ni nani: wewe ni mtakatifu wa mungu!"
ואתם הנכם זרע נבחר ממלכת כהנים וגוי קדוש ועם סגלה למען תספרו תהלות הקורא אתכם מחשך אל אורו הנפלא׃
lakini ninyi ni ukoo mteule, makuhani wa mfalme, taifa takatifu; watu wake mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo makuu ya mungu aliyewaiteni kutoka gizani akawaingizeni katika mwanga wake mkuu.
מי לא ייראך יהוה ולא יכבד את שמך כי קדוש אתה לבדך כי כל הגוים יבאו וישתחוו לפניך כי נגלו משפטי צדקך׃
bwana, ni nani asiyekucha wewe? nani asiyelitukuza jina lako? wewe peke yako ni mtakatifu. mataifa yote yatakujia na kukuabudu maana matendo yako ya haki yameonekana na wote."
ויאמרו קרניליוס שר מאה איש צדיק וירא אלהים ולו שם טוב בכל עם היהודים צוה על פי מלאך קדוש לקרא לך אל ביתו ולשמע דברים מפיך׃
wao wakamjibu, "jemadari kornelio ambaye ni mtu mwema, mcha mungu na mwenye kuheshimika mbele ya wayahudi wote ametutuma. aliambiwa na malaika mtakatifu akualike nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho nacho cha kusema."
ולכל אחת מארבע החיות שש כנפים מסביב ולפנימה הנה מלאות עינים ואין דמי להן יומם ולילה ואמרות קדוש קדוש קדוש יהוה אלהים צבאות היה והוה ויבוא׃
viumbe hivyo vinne vilikuwa na mabawa sita kila kimoja, na vilikuwa vimejaa macho, ndani na nje. usiku na mchana, bila kupumzika huimba: "mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni bwana, mungu mwenye uwezo, aliyekuwako, aliyeko na anayekuja!"