De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
akakaripiwa kwa ajili ya uovu wake. punda ambaye hasemi alinena kwa sauti ya binadamu, akaukomesha wazimu wa huyo nabii.
aga kes oma üleastumise pärast sai karistada: keeletu koormakandja loom rääkis inimese häälega ja takistas prohveti jõledust.
yeye hutoa huduma ya kuhani mkuu katika mahali patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na bwana, siyo na binadamu.
pühamu ja tõelise telgi ametitalitaja, mille on ehitanud jumal ja mitte inimene.
yesu akasema, "heri wewe simoni mwana wa yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila baba yangu aliye mbinguni.
jeesus vastas ning ütles temale: „Õnnis oled sa, siimon, joona poeg, sest liha ja veri ei ole sulle seda ilmutanud, vaid mu isa, kes on taevas.
kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
sellepärast, otsekui ühe inimese kaudu patt tuli maailma ja patu läbi surm, nõnda on ka surm tunginud kõigisse inimestesse, sest nad kõik on pattu teinud.
kama maandiko yasemavyo: "kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. nyasi hunyauka na maua huanguka.
sest „kõik liha on nagu rohi ja kõik tema hiilgus nagu rohu õieke; rohi kuivab ära ja õieke variseb maha,
yesu akawatazama, akawaambia, "kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa mungu si hivyo, maana kwa mungu mambo yote huwezekana."
jeesus vaatas nendele ja ütles: „inimestel on see v
majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
teid ei ole veel tabanud muud kui inimlik kiusatus; aga ustav on jumal, kes ei lase teid rohkem kiusata kui te suudate kanda, vaid ühes kiusatusega valmistab ka väljapääsu, n
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
kui te tõesti täidate kuninglikku käsku kirja sõna järgi: „armasta oma ligimest nagu iseennast!”, siis te teete hästi;
sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha mungu? au je, nataka kuwapendeza watu? kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa kristo.
kas ma nüüd püüan inimeste või jumala heakskiitmist? või püüan ma olla inimestele meelepärane? sest kui ma veel tahaksin olla inimestele meelepärane, siis ma ei oleks kristuse sulane!
lakini, ni kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo mungu aliyowatayarishia wale wampendao."
vaid n