来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
yesu akasema, "heri wewe simoni mwana wa yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila baba yangu aliye mbinguni.
jeesus vastas ning ütles temale: „Õnnis oled sa, siimon, joona poeg, sest liha ja veri ei ole sulle seda ilmutanud, vaid mu isa, kes on taevas.
kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
sellepärast, otsekui ühe inimese kaudu patt tuli maailma ja patu läbi surm, nõnda on ka surm tunginud kõigisse inimestesse, sest nad kõik on pattu teinud.
majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
teid ei ole veel tabanud muud kui inimlik kiusatus; aga ustav on jumal, kes ei lase teid rohkem kiusata kui te suudate kanda, vaid ühes kiusatusega valmistab ka väljapääsu, n
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
kui te tõesti täidate kuninglikku käsku kirja sõna järgi: „armasta oma ligimest nagu iseennast!”, siis te teete hästi;
sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha mungu? au je, nataka kuwapendeza watu? kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa kristo.
kas ma nüüd püüan inimeste või jumala heakskiitmist? või püüan ma olla inimestele meelepärane? sest kui ma veel tahaksin olla inimestele meelepärane, siis ma ei oleks kristuse sulane!