De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
mtoto akakua, akapata nguvu rohoni. alikaa jangwani mpaka alipojionyesha rasmi kwa watu wa israeli.
and the child grew, and waxed strong in spirit, and was in the deserts till the day of his shewing unto israel.
ulimwengu haukustahili kuwa na watu hao. walitangatanga jangwani na mlimani, wakaishi katika mashimo na mapango ya ardhi.
(of whom the world was not worthy:) they wandered in deserts, and in mountains, and in dens and caves of the earth.
msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama wazee wenu walivyokuwa wakati walipomwasi mungu; kama walivyokuwa siku ile kule jangwani,
harden not your hearts, as in the provocation, in the day of temptation in the wilderness:
tulienda kwa kutumia njia zisizo rasmi na kupitia jangwani huku tukilazimika kusimama mara kwa mara katika vijiji vidogo kununua mikate na kutengeneza matairi ya gari.
we went on off-road tracks and through the desert stopping occasionally in small villages to buy bread or repair the tyres.
na mwenyezi mungu amenifanyia wema kunitoa gerezani, na kukuleteni kutoka jangwani baada ya shet'ani kuchochea baina yangu na ndugu zangu.
and he was certainly good to me when he took me out of prison and brought you [here] from bedouin life after satan had induced [estrangement] between me and my brothers.
madai hayo yalitokea licha ya alaa kusubiri nje ya kituo cha polisi ambapo dada yake alikuwa kizuizini novemba 26 jioni yote mpaka yeye alipochukuliwa na marafiki baada ya polisi kumrusha yeye na wenzake jangwani na kutelekezwa.
this allegation came despite the fact that alaa waited outside the police station where his sister was detained on november 26 all evening until she was picked up by friends after police threw her and her colleagues in the desert.
na mwenyezi mungu ameijaalia iwe kweli. na mwenyezi mungu amenifanyia wema kunitoa gerezani, na kukuleteni kutoka jangwani baada ya shet'ani kuchochea baina yangu na ndugu zangu.
and he raised his parents to the throne, and they fell down before him prostrate, and he said: o my father! this is the interpretation of my vision aforetime; my lord hath now made it come true; and surely he did well by me when he took me forth from the prison, and hath brought you from the desert after the satan had stirred strife between me and my brethren; verily my lord is subtilel unto whomsoever he will.
na mwenyezi mungu amenifanyia wema kunitoa gerezani, na kukuleteni kutoka jangwani baada ya shet'ani kuchochea baina yangu na ndugu zangu. hakika mola wangu mlezi ni mpole kwa alitakalo.
and he raised his parents upon the throne and they fell down in prostration before him, and he said: o my father! this is the significance of my vision of old; my lord has indeed made it to be true; and he was indeed kind to me when he brought me forth from the prison and brought you from the desert after the shaitan had sown dissensions between me and my brothers, surely my lord is benignant to whom he pleases; surely he is the knowing, the wise.
wakati watu wa israeli walipokutana pamoja kule jangwani, mose ndiye aliyekuwako huko pamoja nao. alikuwa huko pamoja na babu zetu na yule malaika aliyeongea naye mlimani sinai; ndiye aliyekabidhiwa yale maneno yaletayo uzima atupe sisi.
this is he, that was in the church in the wilderness with the angel which spake to him in the mount sina, and with our fathers: who received the lively oracles to give unto us:
alisema hivyo kwa kuwa yesu alikwishamwambia huyo pepo mchafu amtoke mtu huyo. pepo huyo mchafu alikuwa anamvamia mtu huyo mara nyingi, na ingawa watu walimweka ndani na kumfunga kwa minyororo na pingu, lakini kila mara alivivunja vifungo hivyo, akakimbizwa na pepo huyo mchafu hadi jangwani.
(for he had commanded the unclean spirit to come out of the man. for oftentimes it had caught him: and he was kept bound with chains and in fetters; and he brake the bands, and was driven of the devil into the wilderness.)
hapo wajumbe wa yohane walipokwisha kwenda zao, yesu alianza kuyaambia makundi ya watu juu ya yohane: "mlikwenda kule jangwani, hivi mlitaka kuona kitu gani? mlitaka kuona unyasi unaotikiswa na upepo?
and when the messengers of john were departed, he began to speak unto the people concerning john, what went ye out into the wilderness for to see? a reed shaken with the wind?