Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
perché lo spirito santo vi insegnerà in quel momento ciò che bisogna dire»
kwa maana wakati huo roho mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema."
io vi ho battezzati con acqua, ma egli vi battezzerà con lo spirito santo»
mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu."
ci ha impresso il sigillo e ci ha dato la caparra dello spirito santo nei nostri cuori
ndiye aliyetutia mhuri wa kuwa mali yake yeye na kutujalia roho mioyoni mwetu kama dhamana ya mambo yote ambayo ametuwekea.
essi dunque, inviati dallo spirito santo, discesero a selèucia e di qui salparono verso cipro
basi, barnaba na saulo walipokwisha tumwa na roho mtakatifu, walishuka hadi seleukia, na kutoka huko walipanda meli hadi kisiwa cha kupro.
andate dunque e ammaestrate tutte le nazioni, battezzandole nel nome del padre e del figlio e dello spirito santo
nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu; mkiwabatiza kwa jina la baba, na la mwana, na la roho mtakatifu.
allora pietro, pieno di spirito santo, disse loro: «capi del popolo e anziani
hapo, petro, akiwa amejawa na roho mtakatifu, akawaambia, "viongozi na wazee wa watu!
attraversarono quindi la frigia e la regione della galazia, avendo lo spirito santo vietato loro di predicare la parola nella provincia di asia
walipitia sehemu za frugia na galatia kwani roho mtakatifu hakuwaruhusu kuhubiri huo ujumbe mkoani asia.
e voi siete diventati imitatori nostri e del signore, avendo accolto la parola con la gioia dello spirito santo anche in mezzo a grande tribolazione
ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga bwana. ingawa mliteswa sana, mliupokea ujumbe huo kwa furaha itokayo kwa roho mtakatifu.
glorifica allah ciò che è nei cieli e sulla terra, il re, il santo, l'eccelso, il saggio.
viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi vinamtakasa mwenyezi mungu, mfalme, mtakatifu, mwenye nguvu, mwenye hikima.
davide stesso infatti ha detto, mosso dallo spirito santo: siedi alla mia destra, finché io ponga i tuoi nemici come sgabello ai tuoi piedi
daudi mwenyewe akiongozwa na roho mtakatifu alisema: bwana alimwambia bwana wangu: keti upande wangu wa kulia, mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako."