Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
siku hizo, yesu alifika kutoka nazareti, mji wa galilaya, akabatizwa na yohane katika mto yordani.
and it came to pass in those days, that jesus came from nazareth of galilee, and was baptized of john in jordan.
basi, yohane akaenda katika sehemu zote zilizopakana na mto yordani, akihubiri watu watubu na kubatizwa ili mungu awaondolee dhambi.
and he came into all the country about jordan, preaching the baptism of repentance for the remission of sins;
yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka galilaya, akaenda katika mkoa wa yudea, ng'ambo ya mto yordani.
and it came to pass, that when jesus had finished these sayings, he departed from galilee, and came into the coasts of judaea beyond jordan;
"nchi ya zabuloni na nchi ya naftali, kuelekea baharini ng'ambo ya mto yordani, galilaya nchi ya watu wa mataifa!
the land of zabulon, and the land of nephthalim, by the way of the sea, beyond jordan, galilee of the gentiles;
idumea, ng'ambo ya mto yordani, tiro na sidoni. watu hao wengi walimwendea yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
and from jerusalem, and from idumaea, and from beyond jordan; and they about tyre and sidon, a great multitude, when they had heard what great things he did, came unto him.
basi, wanafunzi hao wakamwendea yohane na kumwambia, "mwalimu, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya yordani na ambaye wewe ulimshuhudia, sasa naye anabatiza, na watu wote wanamwendea."
and they came unto john, and said unto him, rabbi, he that was with thee beyond jordan, to whom thou barest witness, behold, the same baptizeth, and all men come to him.