Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
and thence sailed to antioch, from whence they had been recommended to the grace of god for the work which they fulfilled.
kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza.
but when they departed from perga, they came to antioch in pisidia, and went into the synagogue on the sabbath day, and sat down.
lakini wao waliendelea na safari toka pisga hadi mjini antiokia pisidia. siku ya sabato waliingia ndani ya sunagogi, wakakaa.
and when they had preached the gospel to that city, and had taught many, they returned again to lystra, and to iconium, and antioch,
baada ya paulo na barnabas kuhubiri habari njema huko derbe na kupata wafuasi wengi, walifunga safari kwenda antiokia kwa kupitia lustra na ikonio.
and some of them were men of cyprus and cyrene, which, when they were come to antioch, spake unto the grecians, preaching the lord jesus.
lakini baadhi ya waumini waliotoka kupro na kurene, walikwenda antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile habari njema juu ya bwana yesu.
and they wrote letters by them after this manner; the apostles and elders and brethren send greeting unto the brethren which are of the gentiles in antioch and syria and cilicia:
wakawapa barua hii: "sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko antiokia, siria na kilikia.
and there came thither certain jews from antioch and iconium, who persuaded the people, and, having stoned paul, drew him out of the city, supposing he had been dead.
lakini wayahudi kadhaa walikuja kutoka antiokia na ikonio, wakawafanya watu wajiunge nao, wakampiga mawe paulo na kumburuta hadi nje ya mji wakidhani amekwisha kufa.
persecutions, afflictions, which came unto me at antioch, at iconium, at lystra; what persecutions i endured: but out of them all the lord delivered me.
udhalimu na mateso yangu. unayajua mambo yaliyonipata huko antiokia, ikonio na lustra. nilivumilia udhalimu mkubwa mno! lakini bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.
and when he had found him, he brought him unto antioch. and it came to pass, that a whole year they assembled themselves with the church, and taught much people. and the disciples were called christians first in antioch.
alipompata, alimleta antiokia. nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. huko antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa wakristo.
and put forward to them a similitude; the (story of the) dwellers of the town, [it is said that the town was antioch (antakiya)], when there came messengers to them.
na wapigie mfano wa wakaazi wa mji walipo wafikia walio tumwa.