Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
also take note, october 24th, 2009 has been designated the international day of climate action by 350.org.
pia zingatia, oktoba 24, 2009 ni siku iliyopewa jina la siku ya dunia ya kuchukua hatua za hali ya hewa na wavuti ya 350.org.
at the same time desertification contributes to climate change by releasing to the atmosphere carbon stored in dryland vegetation and soils.
wakati huohuo ueneaji jangwa nao huchangia katika mabadiliko ya hali ya hewa kwa kuruhusu kaboni iliyohifadhiwa kwenye mimea ya maeneo yenye ukame na udongo kurushwa kwenye anga.
the impact of climate change has not received much prominence in my country uganda but such changes and its effects are painfully being felt.
athari za mabadiliko ya tabia nchi hazijapewa kipaumbele kinachostahili katika nchi yangu uganda lakini mabadiliko hayo na athari zake zinahisiwa kwa uchungu.
awdf views climate change as an environmental change, which is also driven by humans—fundamentally a human problem.
awdf inayatazama mabadiliko ya hali ya hewa kama mabadiliko ya mazingira, ambayo yanaharakishwa pia na binadamu –kimsingi likiwa tatizo la mwanadamu.
developing countries impacted most directly by climate change, have taken a similar steps like the recent satellites launch by india to study climate change.
nchi zinzoendelea zilizoathiriwa moja kwa moja na mabadiliko ya tabia nchi, zimechukua hatua zinazofanana na hizo kama vile kuzinduliwa hivi karibuni kwa setilaiti ya india ili kujifunza mabadiliko ya tabia nchi.
gameli adzaho, author of the gamelian world blog, presented a post on "5 voices on climate change".
gameli adzaho, mwandishi wa blogu ya the gamelian world, alitoa makala inayohusu sauti 5 kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa.
"in a city like chennai, where the climate is hot nearly 10 months of the year, i see men urinating on the roadside all the time.
kwenye mji kama chennai, ambako hali ya hewa ni ya joto kwa karibu miezi 10 ya mwaka, huwaona wanaume wanakojoakando ya barabara kila wakati.
both hcov-229e and hcov-oc43 are distributed globally, and they tend to be predominantly transmitted during the season of winter in temperate climate.
virusi vya hcov-229e na hcov-oc43 vimeenea kote duniani, na huonekana kuenea zaidi wakati wa msimu wa kipupwe katika hali ya hewa kiasi.
leading up to the climate change conference in copenhagen (cop15) in december 2009, here is a sample of online tools to monitor climate change.
kuelekea kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabianchi utakaofanyika copenhagen (cop15) mwezi desemba 2009, hizi ni baadhi ya nyenzo za mtandoni za kufuatilia mabadiliko ya tabia nchi.
she affirmed “indonesia’s role in handling global problems, including terrorism, protectionism, climate change and the economic crisis.”
alitilia mkazo "jukumu la indonesia katika kudhibiti matatizo ya dunia, yanayojumuisha ugaidi, uchumi wa kujihami, mabadiliko ya hali ya hewa(kuongezeka kwa joto) na matatizo ya kiuchumi."
although the influence of climate change on desertification has not been fully understood yet, according to greenfacts, it is known that higher temperatures resulting from increased carbon dioxide levels can have a negative impact through increased loss of water from soil and reduced rainfall in drylands.
ingawa athari ya mabadiliko ya hali ya hewa katika ueneaji jangwa bado haijaeleweka vema, yaani kwa mujibu wa greenfacts, inafahamika kwamba viwango vya juu vya joto vinavyotokana na kuongezeka kwa viwango vya dioksidii ya kaboni kunaweza kuwa na athari mbaya kutokana na kuongezeka kwa upotevu wa maji kutoka ardhini na kupungua kwa viwango vya mvua katika maeneo yenye ukame.
according to the fake denouncement, the canadian government was especially frustrated that the news of their change of heart had been met so positively by developing nations at the united nations climate change summit (cop15) in copenhagen.
kwa mujibu wa kanusho bandia, serikali ya canada ilikuwa imechanganyikiwa kwamba habari za kubadili msimamo wake zilipokelewa vizuri na nchi zinazoendelea kwenye mkutano wa umoja wa mtaifa wa mabadiliko ya tabianchi(cop15) mjini copenhagen.
as the world's nations gather today in copenhagen for the united nations convention on climate change, madagascar, having already lost 90% of its original forest, faces continued threats from black market logging.
wakati mataifa ya dunia yanakutana leo huko copenhagen kwa ajili ya mkutano wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabianchi, madagascar, ambayo imekwishapoteza 90% ya misitu yake ya asili, inakabiliwa na tishio la biashara ya magendo ya magogo.