Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
wakati ambapo uchunguzi wa mauaji hayo unaendelea, bila shaka jicho litaendelea kutupwa wa waislamu wanaotumikia jeshi.
وبينما تستمر التحقيقات حول المجزرة، سيستمر التركيز على المسلمين الذي يخدمون في الجيش على الأرجح.
inatarajiwa kwamba atakuwa amehamishiwa kwenye makao makuu ya mahakama ya kiraia kwenye eneo la jeshi la polisi huko al qaboun.
من المتوقع ان يكون نقل الى مقر المحكمة الميدانية في الشرطة العسكرية في منطقة القابون
mkuu wa jeshi aliwaamuru watu wake wampeleke paulo ndani ya ngome, akawaambia wamchape viboko ili wapate kujua kisa cha wayahudi kumpigia kelele.
أمر الامير ان يذهب به الى المعسكر قائلا ان يفحص بضربات ليعلم لاي سبب كانوا يصرخون عليه هكذا
mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, "una nini cha kuniambia?"
فاخذ الامير بيده وتنحى به منفردا واستخبره ما هو الذي عندك لتخبرني به.
“jeshi limekuwa likiandikisha waislamu walio na ujuzi wa lugha na welewa wa utamaduni, vitu vinavyohitajika ili kupigana vita huko iraki na afganistani.
يقوم الجيش بشكل فعّال بتجنيد المسلمين ذوي المهارات اللغوية والثقافية المطلوبة للقتال في الحروب الدائرة في العراق وأفغانستان.
kujitokeza kwa jeshi la chadi uunganisha nguvu na majeshi ya camerron na naijeria kuonekana kuwa na maamuzi sasa, imeleta hali ya tahayaruki kwa kikundi hicho cha kigaidi cha boko haram.
يمكن لدعم الجيش التشادي للجيشين الكاميروني والنيجيري أن يكون حاسمًا، نظرًا للتحركات المذعورة على حركة بوكو حرام.
hapo paulo akamwita mmoja wa askari, akamwambia, "mchukue kijana huyu kwa mkuu wa jeshi; ana kitu cha kumwambia."
فاستدعى بولس واحدا من قواد المئات وقال اذهب بهذا الشاب الى الامير لان عنده شيئا يخبره به.
wakati wa akitoa hotuba yake ya hivi karibuni alisema, "matatizo makubwa zaidi nchini yemen ni, jeshi, dini na ukabila."
وفي خطاب حديث لها قالت الكاتبة "الثلاثي القاتل لليمن هو العسكر، والدين، والقبلية".
mkuu wa jeshi alimwendea paulo, akamtia nguvuni na kuamuru afungwe minyororo miwili. kisha akauliza, "ni mtu gani huyu, na amefanya nini?"
حينئذ اقترب الامير وامسكه وامر ان يقيد بسلسلتين وطفق يستخبر ترى من يكون وماذا فعل.
kama vyombo vya habari na maoni huru ya watu yanabaki kimya kulaani uvunjifu huu wa uhuru wa kujieleza na uvunjifu wa haki za binadamu, basi kesho mahakama yoyote inaweza kumshitaki mwandishi kwa kumkosoa rais wa jamuhuri, au afisa wa jeshi, waziri au hata naibu waziri.
إن صمتت وسائل الإعلام والرأي العام اليوم على هذا الهجوم على حرية التعبير وانتهاك حقوق المواطن، يجوز لأي محكمة غداً إدانة أي صحفي لإنتقاده رئيس الجمهورية، الرتب العسكرية، الوزراء أو النواب.
askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, "yule mfungwa paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukwambia."
فاخذه واحضره الى الامير وقال استدعاني الاسير بولس وطلب ان احضر هذا الشاب اليك وهو عنده شيء ليقوله لك.
alaa abd el fattah alifungwa jela chini ya utawala wa hosni mubarak kwa siku 45 na tena na baraza kuu la vikosi vya jeshi mwaka 2011, ambapo yeye alibakia jela kwa karibu miezi miwili. vilevile alikakabiliwa na mashtaka chini ya utawala wa mohamed morsi mwaka wa 2013, pamoja mwandishi maarufu anayetumia jina la uandishi bassem youssef, katika kile wengi walijua kuwa mashtaka ya kisiasa kutumika kama mbinu ya vitisho.
حبس علاء عبد الفتاح خمسة وأربعين يوماً أثناء نظام مبارك وحبس مجدداً أثناء حكم المجلس العسكري في 2011، عندما ظل في السجن لشهرين تقريباً. واجه علاء أيضاً تهم بالتحريض من حكومة محمد مرسي في 2013، وذلك جنب إلى جنب مع باسم يوسف، والتي اعتبرها الكثيرون تهم سياسية بهدف التخويف والتهديد.