Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
unajiona kuwa mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa wale wasiokomaa bado. unayo katika sheria picha kamili ya elimu na ukweli.
odgojitelj nerazumnih, uèitelj nejaèadi jer u zakonu ima olièenje znanja i istine;
ndugu zangu, mimi binafsi nina hakika kwamba ninyi pia mmejaa wema, elimu yote, na mnaweza kushauriana ninyi kwa ninyi.
ja sam, braæo moja, uvjeren: vi ste i sami puni èestitosti, ispunjeni svakim znanjem, sposobni jedni druge urazumljivati.
tunajionyesha kuwa watumishi wa mungu kwa usafi wa moyo, elimu, uvumilivu na wema; kwa roho mtakatifu, kwa upendo usio na unafiki,
u èistoæi, u spoznanju, u velikodunosti, u dobroti, u duhu svetomu, u ljubavi nehinjenoj,
kwa sababu hiyo tumekuwa tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari zenu. tunamwomba mungu awajazeni ujuzi kamili wa mapenzi yake, awajazeni hekima yote na elimu iletwayo na roho wake.
zato i mi, od dana kada to èusmo, neprestano za vas molimo i itemo da se ispunite spoznajom volje njegove u svoj mudrosti i shvaæanju duhovnome:
utajiri, hekima na elimu ya mungu ni kuu mno! huruma zake hazichunguziki, na njia zake hazieleweki! kama yasemavyo maandiko matakatifu:
o dubino bogatstva, i mudrosti, i spoznanja bojega! kako li su nedokuèivi sudovi i neistraivi putovi njegovi!
hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba petro na yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na yesu.
kad vidjee neustraivost petrovu i ivanovu, a znajuæi da su to ljudi nepismeni i neuki, bijahu u èudu; znali su ih, da bijahu s isusom, ali
timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: "elimu".
timoteju, poklad èuvaj kloneæi se svjetovnoga praznoglasja i proturjeèja nekog nazovispoznanja,
saa ileile, yesu akafurahi kwa uwezo wa roho mtakatifu, akasema, "nakushukuru ee baba, bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. naam, baba, ndivyo ilivyokupendeza."
u taj isti èas uskliknu isus u duhu svetom: "slavim te, oèe, gospodaru neba i zemlje, to si ovo sakrio od mudrih i umnih, a objavio malenima. da, oèe! tako se tebi svidjelo.