Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
yote hayo ni kama mwanzo wa maumivu ya kujifungua mtoto.
ma tutto questo è solo l'inizio dei dolori
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu
ho nel cuore un grande dolore e una sofferenza continua
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
alikuwa mja mzito, na akapaaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
era incinta e gridava per le doglie e il travaglio del parto
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
sio mara ya kwanza watoto wa nasrin wameoonyesha maumivu wanayokumbana nayo familia za wafungwa wa kisiasa.
già altre volte in passato le vicende occorse ai bambini di nasrin hanno contribuito a richiamare l'attenzione sulle sofferenze delle famiglie dei detenuti politici.
Ultimo aggiornamento 2016-02-24
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
lakini mungu alimfufua kutoka wafu akamwokoa katika maumivu ya kifo kwa maana haingewezekana kabisa kifo kimfunge.
ma dio lo ha risuscitato, sciogliendolo dalle angosce della morte, perché non era possibile che questa lo tenesse in suo potere
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
kwa maana tunajua kwamba mpaka hivi sasa, viumbe vyote vinalia kwa maumivu kama ya kujifungua mtoto.
sappiamo bene infatti che tutta la creazione geme e soffre fino ad oggi nelle doglie del parto
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
maana kama mnavumilia maumivu ya mateso msiyostahili kwa sababu mwajua kwamba mungu anataka hivyo, basi mungu atawafadhili.
e' una grazia per chi conosce dio subire afflizioni, soffrendo ingiustamente
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
mateso na maumivu yatampata binadamu yeyote atendaye uovu. yatawapata wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia.
tribolazione e angoscia per ogni uomo che opera il male, per il giudeo prima e poi per il greco
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
kisha malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya makao makuu ya yule mnyama. giza likauvamia utawala wake, watu wakauma ndimi zao kwa sababu za maumivu,
il quinto versò la sua coppa sul trono della bestia e il suo regno fu avvolto dalle tenebre. gli uomini si mordevano la lingua per il dolore
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
wakati mama anapojifungua huona huzuni kwa sababu saa ya maumivu imefika; lakini akisha jifungua hayakumbuki tena maumivu hayo kwa sababu ya furaha kwamba mtu amezaliwa duniani.
la donna, quando partorisce, è afflitta, perché è giunta la sua ora; ma quando ha dato alla luce il bambino, non si ricorda più dell'afflizione per la gioia che è venuto al mondo un uomo
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
nzige hao hawakuruhusiwa kuwaua watu, ila kuwatesa tu kwa muda wa miezi mitano. maumivu watakayosababisha ni kama maumivu yanayompata mtu wakati anapoumwa na ng'e.
però non fu concesso loro di ucciderli, ma di tormentarli per cinque mesi, e il tormento è come il tormento dello scorpione quando punge un uomo
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
yeye atayafuta machozi yao yote; maana hakutakuwako tena na kifo, wala uchungu, wala kilio, wala maumivu; maana ile hali ya kale imepita!"
e tergerà ogni lacrima dai loro occhi; non ci sarà più la morte, né lutto, né lamento, né affanno, perché le cose di prima sono passate»
Ultimo aggiornamento 2012-05-06
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
Attenzione: contiene formattazione HTML nascosta
ifahamike kwamba uhalisia ufuatao haukutiliwa maanani: kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitabibu, mimba inapotolewa, mtoto huwa anapata maumivu sawasawa na ya mtoto aliyezaliwa kawaida na akakuzwa halafu akateswa hadi kufa.
si deve notare che non è stato preso in considerazione quanto segue: secondo una serie di ricerche medico scientifiche, un bambino che sta per subire un aborto prova lo stesso livello di sofferenza di una persona adulta torturata a morte.
Ultimo aggiornamento 2016-02-24
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
na yehova mungu akamwambia nyoka: “kwa sababu umefanya jambo hili, umelaaniwa kati ya wanyama wote wa kufugwa na kati ya wanyama wote wa mwituni. utakwenda kwa tumbo lako na utakula mavumbi siku zote za maisha yako. nami nitaweka uadui kati yako na yule mwanamke na kati ya uzao wako na uzao wake. yeye atakuponda kichwa nawe utamtia jeraha kwenye kisigino.” akamwambia mwanamke: “nitazidisha sana maumivu ya mimba yako; kwa uchungu utazaa watoto, na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.” naye akamwambia adamu: “kwa sababu uliisikiliza sauti ya mke wako ukala matunda ya mti ambao nilikupa amri hii kuuhusu, ‘usile matunda yake,’ udongo umelaaniwa kwa sababu yako. kwa maumivu utakula mazao yake siku zote za maisha yako. nao utakuzalia miiba na mibaruti, nawe utakula mimea ya shambani. kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo. kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.” baada ya hayo adamu akamwita mke wake jina lake hawa, kwa sababu ndiye angekuja kuwa mama ya kila mtu anayeishi. na yehova mungu akawafanyia adamu na mke wake mavazi marefu ya ngozi, akawavika. na yehova mungu akaendelea kusema: “tazama, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya, na sasa ili asije akanyoosha mkono wake achukue matunda kutoka pia katika mti wa uzima na kula na kuishi mpaka wakati usio na kipimo,—” kwa hiyo yehova mungu akamwondoa katika bustani ya edeni ili aulime udongo ambao katika huo alikuwa ametolewa. na basi akamfukuza huyo mtu, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya edeni makerubi na upanga unaowaka ambao ulikuwa unajizungusha-zungusha ili kuilinda njia ya kwenda kwenye ule mti wa uzima.
e geova dio diceva al serpente: “poiché hai fatto questa cosa, sei il maledetto fra tutti gli animali domestici e fra tutte le bestie selvagge del campo. andrai sul tuo ventre e mangerai polvere tutti i giorni della tua vita. e io porrò inimicizia fra te e la donna e fra il tuo seme e il seme di lei. egli ti schiaccerà la testa e tu gli schiaccerai il calcagno”. alla donna disse: “aumenterò grandemente il dolore della tua gravidanza; con doglie partorirai figli, e la tua brama sarà verso tuo marito, ed egli ti dominerà”. e ad adamo disse: “poiché hai ascoltato la voce di tua moglie e hai mangiato dell’albero circa il quale ti avevo dato questo comando: ‘non ne devi mangiare’, il suolo è maledetto per causa tua. con dolore ne mangerai il prodotto tutti i giorni della tua vita. e ti produrrà spine e triboli, e devi mangiare la vegetazione del campo. col sudore della tua faccia mangerai pane finché tornerai al suolo, poiché da esso sei stato tratto. poiché polvere sei e in polvere tornerai”. dopo ciò adamo mise a sua moglie il nome di eva, perché doveva divenire la madre di tutti i viventi. e geova dio faceva lunghe vesti di pelle per adamo e per sua moglie e li vestiva. e geova dio proseguì, dicendo: “ecco, l’uomo è divenuto simile a uno di noi conoscendo il bene e il male, e ora perché non stenda la mano e realmente prenda anche del frutto] dell’albero della vita e mangi e viva a tempo indefinito, …” allora geova dio lo mandò fuori del giardino di eden, perché coltivasse il suolo dal quale era stato tratto. e così cacciò l’uomo e pose ad oriente del giardino di eden i cherubini e la fiammeggiante lama di una spada che roteava continuamente per custodire la via dell’albero della vita.