Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
na misiba inayo kusibuni ni kwa sababu ya vitendo vya mikono yenu. naye anasamehe mengi.
qualunque sventura vi colpisca, sarà conseguenza di quello che avranno fatto le vostre mani, ma [allah] molto perdona.
haya ni kwa sababu ya iliyo tanguliza mikono yenu, na kwamba mwenyezi mungu si mwenye kuwadhulumu waja,
e ciò per via di quello che le vostre mani avranno commesso. ché allah non è ingiusto con i suoi servi.
hayo ni kwa sababu ya yale yaliyo kwisha tangulizwa na mikono yenu, na hakika mwenyezi mungu si mwenye kuwadhulumu waja.
in compenso di quello che le vostre mani hanno commesso!”. in verità allah non è ingiusto con i suoi schiavi,
na watu tunapo waonjesha rehema huifurahia, na ukiwasibu uovu kwa iliyo yatanguliza mikono yao wenyewe, mara wanakata tamaa.
quando gratifichiamo gli uomini di una misericordia, se ne rallegrano. se poi, li coglie una disgrazia per ciò che le loro mani hanno perpetrato, ecco che se ne disperano.
basi mjumbe alipo mjia yusuf alisema: rejea kwa bwana wako ukamuulize khabari ya wale wanawake walio jikata mikono yao.
quando giunse il messaggero [giuseppe] disse: “ritorna presso il tuo signore e chiedigli: "cosa volevano le donne che si tagliuzzarono le mani?".
mwenyezi mungu atakujaribuni kidogo kwa wanyama wa kuwinda inayo wafikia mikono yenu na mikuki yenu, ili mwenyezi mungu amjue nani anaye mkhofu kwa ghaibu.
allah certamente vi metterà alla prova con qualche [capo di selvaggina] che caccerete con le mani e con le lance. così allah riconoscerà chi lo teme nel profondo di sé.