プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
wakati apolo alipokuwa korintho, paulo alisafiri sehemu za bara, akafika efeso ambako aliwakuta wanafunzi kadhaa.
and it came to pass, that, while apollos was at corinth, paul having passed through the upper coasts came to ephesus: and finding certain disciples,
kuhusu ndugu apolo, nimemsihi sana aje kwenu pamoja na ndugu wengine, lakini hapendelei kabisa kuja sasa ila atakuja mara itakapowezekana.
as touching our brother apollos, i greatly desired him to come unto you with the brethren: but his will was not at all to come at this time; but he will come when he shall have convenient time.
myahudi mmoja aitwaye apolo, mzaliwa wa aleksandria, alifika efeso. alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa maandiko matakatifu.
and a certain jew named apollos, born at alexandria, an eloquent man, and mighty in the scriptures, came to ephesus.
apolo alipoamua kwenda akaya, wale ndugu walimtia moyo kwa kuwaandikia wafuasi kule akaya wampokee. alipofika huko, aliweza kwa msaada wa neema ya mungu, kuwasaidia sana wale ndugu waliopata kuwa waumini;
and when he was disposed to pass into achaia, the brethren wrote, exhorting the disciples to receive him: who, when he was come, helped them much which had believed through grace: