プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
lakini mafarisayo na walimu wa sheria walikataa mpango wa mungu uliowahusu wakakataa kubatizwa na yohane.
but the pharisees and lawyers rejected the counsel of god against themselves, being not baptized of him.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
kabla ya kuja kwake yesu, yohane alimtangulia akiwahubiria watu wote wa israeli kwamba ni lazima watubu na kubatizwa.
when john had first preached before his coming the baptism of repentance to all the people of israel.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
basi, yohane akaenda katika sehemu zote zilizopakana na mto yordani, akihubiri watu watubu na kubatizwa ili mungu awaondolee dhambi.
and he came into all the country about jordan, preaching the baptism of repentance for the remission of sins;
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
yesu akawaambia, "hamjui mnachoomba! je, mnaweza kunywa kikombe nitakachokunywa, au kubatizwa kama nitakavyobatizwa?"
but jesus said unto them, ye know not what ye ask: can ye drink of the cup that i drink of? and be baptized with the baptism that i am baptized with?
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
lakini yohane alijaribu kumzuia akisema, "je, wewe unakuja kwangu? mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe."
but john forbad him, saying, i have need to be baptized of thee, and comest thou to me?
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
filipo akasema, "kama unaamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa." naye akajibu, "naam, ninaamini kwamba yesu kristo ni mwana wa mungu."
and philip said, if thou believest with all thine heart, thou mayest. and he answered and said, i believe that jesus christ is the son of god.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています