プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
na kitawekwa kitabu. basi utawaona wakosefu wanavyo ogopa kwa yale yaliomo humo.
and the book (one's record) will be placed (in the right hand for a believer in the oneness of allah, and in the left hand for a disbeliever in the oneness of allah), and you will see the mujrimun (criminals, polytheists, sinners, etc.), fearful of that which is (recorded) therein.
basi utawaona wakosefu wanavyo ogopa kwa yale yaliomo humo. na watasema: ole wetu!
and the book (of deeds) will be placed (before you); and thou wilt see the sinful in great terror because of what is (recorded) therein; they will say, "ah! woe to us! what a book is this!
na wanaapa kwa mwenyezi mungu kwamba wao ni katika nyinyi, wala wao si katika nyinyi. lakini ni watu wanao ogopa.
and they (the hypocrites) swear by allah that they are from among you (muslims); and they are not from among you – however those people are afraid.
hakika katika haya ipo ishara kwa yule anaye ogopa adhabu ya akhera. hiyo ndiyo siku itakayo kusanyiwa watu, na hiyo ndiyo siku itakayo shuhudiwa.
in this surely is a sign for him who fears the torment of the hereafter, the day when mankind will be assembled together, which will be a day when all things would become evident.