プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
et circumspiciebat videre eam quae hoc fecera
lakini yesu akaendelea kutazama amwone huyo aliyefanya hivyo.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
conveneruntque apostoli et seniores videre de verbo ho
basi, mitume na wazee walifanya mkutano maalum wa kuchunguza jambo hilo.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
spero autem protinus te videre et os ad os loquemu
natumaini kukuona karibuni na hapo tutazungumza ana kwa ana. (g1-15) nakutakia amani. rafiki zako wanakusalimu. wasalimu rafiki zetu wote kila mmoja binafsi.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
desiderans te videre memor lacrimarum tuarum ut gaudio implea
nakumbuka machozi yako na ninatamani usiku na mchana kukuona, ili nijazwe furaha.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
ideoque et alias dicit non dabis sanctum tuum videre corruptione
naam, na katika sehemu nyingine za zaburi asema: hutamwacha mtakatifu wako aoze.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
sed quid existis videre prophetam etiam dico vobis et plus quam propheta
basi, mlikwenda kuona nini? nabii? naam, hakika ni zaidi ya nabii.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
deinde post annos tres veni hierosolyma videre petrum et mansi apud eum diebus quindeci
ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda yerusalemu kuonana na kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
et quaerebat videre iesum quis esset et non poterat prae turba quia statura pusillus era
alitaka kuona yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
et ait ad discipulos venient dies quando desideretis videre unum diem filii hominis et non videbiti
halafu akawaambia wanafunzi wake, "siku zinakuja ambapo mtatamani kuona mojawapo ya siku za mwana wa mtu, lakini hamtaiona.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
et ait herodes iohannem ego decollavi quis autem est iste de quo audio ego talia et quaerebat videre eu
lakini herode akasema, "huyo yohane nilimkata kichwa; sasa ni nani huyu ninayesikia habari zake?" akawa na hamu ya kumwona.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
deinde iterum inposuit manus super oculos eius et coepit videre et restitutus est ita ut videret clare omni
kisha yesu akamwekea tena mikono machoni, naye akakaza macho, uwezo wake wa kuona ukamrudia, akaona kila kitu sawasawa.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
et cum discessissent nuntii iohannis coepit dicere de iohanne ad turbas quid existis in desertum videre harundinem vento mover
hapo wajumbe wa yohane walipokwisha kwenda zao, yesu alianza kuyaambia makundi ya watu juu ya yohane: "mlikwenda kule jangwani, hivi mlitaka kuona kitu gani? mlitaka kuona unyasi unaotikiswa na upepo?
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
amen quippe dico vobis quia multi prophetae et iusti cupierunt videre quae videtis et non viderunt et audire quae auditis et non audierun
kweli nawaambieni, manabii na watu wengi wema walitamani kuyaona yale mnayoyaona, wasiyaone, na kuyasikia yale mnayoyasikia, wasiyasikie.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
exierunt autem videre quod factum est et venerunt ad iesum et invenerunt hominem sedentem a quo daemonia exierant vestitum ac sana mente ad pedes eius et timuerun
watu wakaja kuona yaliyotokea. wakamwendea yesu, wakamwona yule mtu aliyetokwa na pepo ameketi karibu na yesu, amevaa nguo, ana akili zake, wakaogopa.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
nunc autem veniente timotheo ad nos a vobis et adnuntiante nobis fidem et caritatem vestram et quia memoriam nostri habetis bonam semper desiderantes nos videre sicut nos quoque vo
sasa timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
et ceteri homines qui non sunt occisi in his plagis neque paenitentiam egerunt de operibus manuum suarum ut non adorarent daemonia et simulacra aurea et argentea et aerea et lapidea et lignea quae neque videre possunt neque audire neque ambular
wanaadamu wengine waliobaki ambao hawakuuawa na mabaa hayo, hawakugeuka na kuviacha vitu walivyokuwa wametengeneza kwa mikono yao wenyewe; bali wakaendelea kuabudu pepo, sanamu za dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti, vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia wala kutembea.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質: