プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
makuhani wakuu waliamua pia kumwua lazaro,
but the chief priests consulted that they might put lazarus also to death;
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
and how the chief priests and our rulers delivered him to be condemned to death, and have crucified him.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe pilato awafungulie baraba.
but the chief priests moved the people, that he should rather release barabbas unto them.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
basi, pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,
and pilate, when he had called together the chief priests and the rulers and the people,
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
nilipokwenda yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa wayahudi walimshtaki na kuniomba nimhukumu.
about whom, when i was at jerusalem, the chief priests and the elders of the jews informed me, desiring to have judgment against him.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
hali kadhalika na makuhani wakuu pamoja na walimu wa sheria na wazee walimdhihaki wakisema,
likewise also the chief priests mocking him, with the scribes and elders, said,
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
makuhani wakuu na walimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.
and the chief priests and scribes stood and vehemently accused him.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi yesu kwake kwa sababu ya wivu.
for he knew that the chief priests had delivered him for envy.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
wamewafanya makuhani wao na wamonaki wao kuwa ni marabi badala ya mwenyezi mungu, na pia masihi bin maryamu.
they (unconditionally) obeyed the rabbis and the monks and worshipped the messiah, son of mary, as they should have obeyed god.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
basi, wakampeleka yesu kwa kuhani mkuu ambapo makuhani wakuu wote, wazee na walimu wa sheria walikuwa wamekutanika.
and they led jesus away to the high priest: and with him were assembled all the chief priests and the elders and the scribes.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa baat'ili na wanazuilia njia ya mwenyezi mungu.
indeed many of the scribes and monks wrongfully eat up the people’s wealth, and bar [them] from the way of allah.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
basi, wakafika tena yerusalemu. yesu alipokuwa akitembea hekaluni, makuhani wakuu, walimu wa sheria na wazee walimwendea,
and they come again to jerusalem: and as he was walking in the temple, there come to him the chief priests, and the scribes, and the elders,
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
walimu wa sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
and the chief priests and the scribes the same hour sought to lay hands on him; and they feared the people: for they perceived that he had spoken this parable against them.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
basi, yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.
judas then, having received a band of men and officers from the chief priests and pharisees, cometh thither with lanterns and torches and weapons.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
"sikilizeni! tunakwenda yerusalemu, na huko mwana wa mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa sheria, nao watamhukumu auawe.
behold, we go up to jerusalem; and the son of man shall be betrayed unto the chief priests and unto the scribes, and they shall condemn him to death,
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
basi, walikwenda kwa makuhani wakuu na wazee, wakasema, "sisi tumeapa kwamba hatutaonja chochote kwa vinywa vyetu mpaka hapo tutakapokuwa tumemuua paulo.
and they came to the chief priests and elders, and said, we have bound ourselves under a great curse, that we will eat nothing until we have slain paul.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
wamewafanya makuhani wao na wamonaki wao kuwa ni marabi badala ya mwenyezi mungu, na pia masihi bin maryamu. na wala hawakuamrishwa isipo kuwa wamuabudu mungu mmoja, hapana mungu ila yeye.
they (jews and christians) took their rabbis and their monks to be their lords besides allah (by obeying them in things which they made lawful or unlawful according to their own desires without being ordered by allah), and (they also took as their lord) messiah, son of maryam (mary), while they (jews and christians) were commanded [in the taurat (torah) and the injeel (gospel)) to worship none but one ilah (god - allah) la ilaha illa huwa (none has the right to be worshipped but he).
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
"sikilizeni! tunakwenda yerusalemu, na huko mwana wa mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa sheria, nao watamhukumu auawe na kumkabidhi kwa watu wa mataifa.
saying, behold, we go up to jerusalem; and the son of man shall be delivered unto the chief priests, and unto the scribes; and they shall condemn him to death, and shall deliver him to the gentiles:
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
kisha yesu akawaambia makuhani wakuu, wakubwa wa walinzi wa hekalu na wazee waliokuja kumkamata: "je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?
then jesus said unto the chief priests, and captains of the temple, and the elders, which were come to him, be ye come out, as against a thief, with swords and staves?
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています