전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
shangwe na vifijo karibu na ikulu ya rais nchini bujumbura baada ya kupinduliwa kwa nkurunzisa.
celebration and jubilation near presidential offices in bujumbura after the overthrow of nkurunziza. #burundicoup pic.twitter.com/whjzxkfs69 — robert alai (@robertalai) may 13, 2015
maofisa wa ikulu pia walikataa kufanunua itifaki na uhalali wa waziri huyo wa zamani kuwa karibu sana na rais katika dhifa za kitaifa.
state house officials also refused to explain the protocol and justify the former minister's closeness to the president at the state functions.
wanajeshi waasi wametangaza kwamba wametwaa madaraka nchini mali , baada ya kukiteka kituo cha televisheni ya taifa pamoja na ikulu ya nchi hiyo.
renegade soldiers have announced that they are seizing power in mali, after taking over the state television building and presidential palace.
aliporudi lusaka, ikulu ilijaribu kumwonyesha akiendelea na majukumu yake ya kazi kama kawaida na hata kuchapisha picha zake akiongoza kikao cha baraza la mawaziri.
upon his return to lusaka, the president’s office tried to show him as working normally and even posted pictures of him chairing a cabinet meeting.
ikulu ya marekani itatengeneza “tukio” la facebook kutokana na hotuba ambapo washiriki kutoka ulimwengu mzima wanaweza kujibishana.
the white house will also create a facebook “event” around the speech wherein participants from around the world can engage with one another.
katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jumatano ambayo malawi digest iliruhusiwa kuisoma, ikulu inasema kuwa rais mutharika anatarajiwa kumuoa chimbombo katika mei mosi, 2010.
in a press statement issued on wednesday made available to malawi digest, the state house says that president mutharika is expected to marry chimombo on 1st may, 2010.
kundi la raia wa ghana walikusanyika karibu na ikulu ya rais kama sehemu ya kampeni yao #occupyflagstaffhouse yenye lengo la kupinga rushwa pamoja na hali tete ya uchumi ikiwa ni sehemu ya harakati zao za kuishinikiza serikali katika kukabiliana na matatizo haya.
a group of ghanaians rallied near the president's office as part of a campaign dubbed #occupyflagstaffhouse to protest corruption and the country's poor economic situation and press the government to do something about it.