전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
shambulio la mabomu mawili ya kujitoa muhanga nchini niger yaua watu 23
twin suicide car bombings in niger kill 23 · global voices
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
imetuonyesha kwamba mapambano ya upinzani, kujitoa muhanga na mapenzi ni sehemu ya wapalestina ambayo haitaweza kubadilika pamoja na dhiki zote zinazotusibu.
it has shown us that resistance, courage and love are an integral part of the palestinian identity that will never change despite all the hardships we endure.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
mmoja wa washiriki ni muhanga wa mauaji ya wayahudi yaliyofanywa na ma-nazi (holocaust) hedy epstein.
amongst the participants is 84-year old holocaust survivor hedy epstien.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
benjamin roger wa jeune afrique anaripoti kuwa wanajeshi 18, raia mmoja na magaidi wanne waliuawa mapema subuhi ya leo katika shambulio la mabomu ya kujitoa muhanga kwenye gari mjini agadez, niger tarehe 23 mei.
benjamin roger for jeune afrique reports that 18 soldiers, one civilian and four terrorists were killed early morning in an suicide car bombing in agadez, niger on may 23.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
pamoja na hatua za mafanikio zilizofikiwa na nchi hiyo tangu kuondolewa kwa wa-taliban mwaka 2001, vyombo vingi vya habari vinavyoandika habari za afghanistan kwa ujeuri tu vimejikita katika masuala hasi kama vile milipuko ya mabomu, mashambulizi ya kujitoa muhanga na kujeruhiwa kwa watu.
despite the progress made by the country since the ousting of the taliban in 2001, most media writing about afghanistan focus stubbornly on negative issues such as bomb blasts, suicide attacks, and casualties.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
gazeti la the hindu nchini india linasema, mpigania uhuru kwa wafuasi wake na gaidi wa kuogopwa kwa wengine, prabhakaran alikuwa anatafutwa na chombo cha polisi cha kimataifa, interpol, pamoja na mashirika mengine mengi tangu mwaka 1990 kwa makosa ya ugaidi, mauaji na jinai. “kabla dunia haijamsikia osama bin laden au al-qaeda, prabhakaran alianza kutumia mbinu mpya ya vita, mabomu ya kujilipua kwa kujitoa muhanga.
the hindu in india says, "a 'freedom fighter' for his supporters and a dreaded terrorist for others, prabhakaran was wanted by interpol and many other organisations since 1990 for terrorism, murder and organised crime." long before the world was aware of osama bin laden or al-qaeda, prabhakaran started to use a new method of guerrilla warfare, suicide bombing.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
경고: 보이지 않는 HTML 형식이 포함되어 있습니다