전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
in 1985, khusta helped end racial apartheid by organizing a consumer boycott in port elizabeth, south africa.
mwaka 1985, khusta alisaidia kuukomesha ubaguzi wa rangi kwa kuandaa na mgomo wa kununua bidhaa za makaburu mjini port elizabeth, afrika kusini.
forces of oppression would most probably refer to the white government in the apartheid era and thereby extend to all whites i suppose.
nguvu za ukandamizaji zinaweza kumaanisha serikali ya weupe katika zama za ubaguzi wa rangi na kwa hiyo zinaweza kumaanisha weupe wote.
mandela spent 27 years in jail for his struggle against south africa's system of racial segregation known as apartheid.
mandela alitumikia kifungo kwa miaka 27 kwa sababu ya mapambano yake dhidi ya mfumo wa kibaguzi wa afrika kusini unaofahamika kama ukaburu.
well, so as long as “kill the blacks” was an old apartheid song, embittered racists can chant it from the rooftops.
naam, kwa kuwa “ueni watu weusi” ulikuwa wimbo wa zamani wa kibaguzi, wabaguzi wenye chuki wanaweza kuuimba kutokea juu ya mapaa ya nyumba.
that may help explain why some of obama’s critics in south africa criticize him for supporting the “apartheid state” of israel.
hiyo inaweza kusaidia kueleza kwa nini wakosoaji wengi wa obama nchini afrika kusini wanamkosoa kwa kuiunga mkono "nchi ya ubaguzi wa rangi" ya israeli.
(black consciousness is a political and philosophical movement to transform black thought that was founded by south africa anti-apartheid hero steve biko.)
enyi watu wa afrika kusini, mnafahamu kweli kuwa wapo raia wenu wanaoishi katika nchi nyingine za afrika?
during apartheid it was these same "foreigners" that sheltered our freedom fighters ... — aka (@akaworldwide) april 15, 2015
wakati vita dhidi ya ubaguzi wa rangi, walikuwa ni hawahwa wahamiaji waliowahifadhi wapigania uhuru wetu... — aka (@akaworldwide) april 15, 2015
nelson mandela, the first black president of south africa who played a crucial role in that country's dismantling of apartheid, died on thursday, december 5, 2013 at the age of 95.
nelson mandela, rais wa kwanza mweusi wa afrika kusini aliyehusika kwa kiasi kikubwa katika mapambano ya kuubomoa ukaburu, alifanriki alhamisi, decemba 5, 2013 akiwa na umri wa miaka 95.
hogan, a veteran anti-apartheid activist and a long-term anc (african national congress) member, was previously the chair of the finance portfolio committee.
hogan, mwanamama mwanaharakati mkongwe dhidi ya ubaguzi wa rangi na mwanachama wa muda mrefu wa anc, yaani african national congress, hapo awali alikuwa mwenyekiti wa kamati ya kusimamia masuala ya fedha.