전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
prime minister matovič suggested these be dumped into the danube.ateş kara of the turkish health ministry said the test kits turkey purchased from china had a "high error rate" and did not "put them into use."the uk purchased 3.5 million test kits from china but in early april 2020 announced these were not usable.
waziri mkuu matovič alipendekeza kwamba vitupwe kwenye mto danube.ateş kara kutoka wizara ya afya ya uturuki alisema kuwa vifurushi vya upimajia ambavyo nchi ya uturuki ilinunua kutoka china vilikuwa na "kiwango cha juu cha kosa" na "haikuvitumia."nchi ya uingereza ilinunua vifurushi milioni 3.5 kutoka china lakini mapema aprili 2020 ikatangaza kuwa hazikuwa zinaweza kutumika.