전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
per fede celebrò la pasqua e fece l'aspersione del sangue, perché lo sterminatore dei primogeniti non toccasse quelli degli israeliti
kwa imani aliadhimisha siku ya pasaka, akaamuru damu inyunyizwe juu ya milango, ili yule malaika mwangamizi asiwaue wazaliwa wa kwanza wa israeli.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
essi sono israeliti e possiedono l'adozione a figli, la gloria, le alleanze, la legislazione, il culto, le promesse
hao ndio watu wa israeli ambao mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
sono ebrei? anch'io! sono israeliti? anch'io! sono stirpe di abramo? anch'io
je, wao ni waebrania? hata mimi. je, wao ni waisraeli? hata mimi. wao ni wazawa wa abrahamu? hata mimi.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
quindi chiedo: dio non ha rigettato il suo popolo, vi pare? non sia mai! poiché anch’io sono israelita, del seme d’abraamo, della tribù di beniamino. dio non ha rigettato il suo popolo, che prima riconobbe. infatti, non sapete ciò che la scrittura dice riguardo a elia, quando egli supplica dio contro israele? “geova, hanno ucciso i tuoi profeti, hanno abbattuto i tuoi altari, e io solo sono rimasto, e cercano la mia anima”. ma che gli dice la dichiarazione divina? “ho lasciato rimanere per me settemila uomini, che non hanno piegato il ginocchio a baal”. in questo modo, perciò, anche al tempo presente si è trovato un rimanente secondo l’elezione dovuta all’immeritata benignità. ora se è per immeritata benignità, non è più dovuto alle opere; altrimenti, l’immeritata benignità non è più immeritata benignità.
basi, nauliza, je, mungu aliwakataa watu wake? hilo lisitendeke kamwe! kwa maana mimi pia ni mwisraeli, wa uzao wa abrahamu, wa kabila la benyamini. mungu hakuwakataa watu wake, aliowatambua kwanza. je, hamjui linavyosema andiko kumhusu eliya, anapomwomba mungu dhidi ya israeli? “yehova, wamewaua manabii wako, wamezibomoa madhabahu zako, nami peke yangu nimebaki, nao wanaitafuta nafsi yangu.” lakini, neno la mungu linamwambia nini? “nimebakiza watu elfu saba kwa ajili yangu mwenyewe, watu ambao hawakumpigia baali goti.” basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki kulingana na kuchaguliwa ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa. basi ikiwa ni kwa fadhili zisizostahiliwa, si kwa sababu ya matendo tena; kama sivyo, fadhili zisizostahiliwa haziwi tena fadhili zisizostahiliwa.
마지막 업데이트: 2013-03-07
사용 빈도: 1
품질:
추천인: