전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
il terzo angelo suonò la tromba e cadde dal cielo una grande stella, ardente come una torcia, e colpì un terzo dei fiumi e le sorgenti delle acque
kisha malaika wa tatu akapiga tarumbeta yake. na nyota kubwa ikiwaka kama bonge la moto, ikaanguka kutoka mbinguni, na kutua juu ya theluthi moja ya mito na chemchemi za maji.
udite le parole del re, essi partirono. ed ecco la stella, che avevano visto nel suo sorgere, li precedeva, finché giunse e si fermò sopra il luogo dove si trovava il bambino
baada ya kumsikiliza mfalme, hao wataalamu wa nyota wakaenda. kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto.
io, gesù, ho mandato il mio angelo, per testimoniare a voi queste cose riguardo alle chiese. io sono la radice della stirpe di davide, la stella radiosa del mattino»
"mimi, yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. mimi ni mzawa wa ukoo wa daudi. mimi ni nyota angavu ya asubuhi!"
e così abbiamo conferma migliore della parola dei profeti, alla quale fate bene a volgere l'attenzione, come a lampada che brilla in un luogo oscuro, finché non spunti il giorno e la stella del mattino si levi nei vostri cuori
tena, ujumbe wa manabii watuthibitishia jambo hilo; nanyi mwafanya vema kama mkiuzingatia, maana ni kama taa inayoangaza mahali penye giza mpaka siku ile itakapopambazuka na mwanga wa nyota ya asubuhi utakapong'ara mioyoni mwenu.
e dio proseguì, dicendo: “si facciano luminari nella distesa dei cieli per fare una divisione fra il giorno e la notte; e dovranno servire come segni e per le stagioni e per i giorni e gli anni. e dovranno servire come luminari nella distesa dei cieli per risplendere sopra la terra” e così si fece. e dio faceva* i due grandi luminari, il luminare maggiore per dominare il giorno e il luminare minore per dominare la notte, e anche le stelle. così dio li pose nella distesa dei cieli per splendere sopra la terra, e per dominare di giorno e di notte e per fare una divisione fra la luce e le tenebre. quindi dio vide che [era] buono. e si faceva sera e si faceva mattina, un quarto giorno.
mungu akaendelea kusema: “kuwe na mianga katika anga la mbingu ili kutenganisha mchana na usiku; nayo iwe ishara na kwa ajili ya majira na kwa ajili ya siku na miaka. nayo iwe mianga katika anga la mbingu ili iangaze dunia.” ikawa hivyo. na mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota. basi mungu akaiweka katika anga la mbingu ili iangaze dunia, na kutawala mchana na usiku na kutenganisha nuru na giza. kisha mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema. ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne.
마지막 업데이트: 2013-03-02
사용 빈도: 1
품질:
추천인: