Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
the meaning of siege
maana ya kuzinguwa
Laatste Update: 2022-06-17
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
president mills is under siege.
rais mills amezingirwa (kana kwamba na nguvu pinzani).
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
homs: 139-days siege of 14 block in the city.
homs: siku 139 za kuzingirwa kwa majengo 14 jijini homs.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
karachi airport under siege as number of attacker are between 15-20.
magaidi watatu wako ndani ya uwanja.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
ato kwamena dadzie recently wrote in his post, "a president under siege":
ato kwamena dadzie hivi karibuni aliandika kwenye makala yake, “rais aliyezingirwa?”:
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
ato kwamena dadzie has received over 70 responses to his post, “a president under siege?”
ato kwamena dadzie amepokea zaidi ya maoni 70 kwenye makala yake, “rais amezingirwa?”
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
all passengers who were stranded in aircrafts during the siege were safely moved into the main terminal building after the initial siege ended.
bado niko kwenye ndege -mfanyakazi wa emirates aliamuru mapema kwamba abiria washuke lakini kwa sasa imebidi tubaki kwenye ndege.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
in recent months, people in gaza believe the international community began to direct its attention elsewhere, neglecting the siege of gaza.
katika miezi ya karibuni, watu wa gaza wanaamini kuwa jumuiya ya kimataifa imeanza kuelekeza macho yake sehemu nyingine, na kutotilia maanani vikwazo vinavyoizingira gaza.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
the original statement of the coalition was to march to break the siege in accordance with the principle of non-violence and anchored in international law.
tamko la asili lilikuwa kuandamana ili kuvunja vikwazo vinavyoizingira gaza kwa mujibu wa kanuni za amani zilizojikita katika sheria za kimataifa.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
it was whether inclusion in the coalition’s statement of a particular right or strategy was necessary if it was both unrelated to the immediate objective of breaking the siege and dimmed the prospect of a truly mass demonstration.
sehemu hiyo ilikuwa iwapo kulikuwa na ulazima wa kujumuishwa kwa haki fulani au mkakati hata kama havihusiani na lengo lililopo la kuvunja vikwazo na kupunguza matarajio ya maandamano ya kweli ya umma.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
the 6-hour siege which started in the late hours of sunday june 8, left 28 people dead, 10 of whom were militants. no passengers was killed in the brazen attack.
sehemu ya zamani ya kupumzikia abiria katika uwanja wa ndege mkubwa zaidi nchini pakistani - uwnaja wa ndege wa kimataifa wa jinnah ilikumbwa na shambulizi zito lililofanywa na wanamgambo wenye silaha usiku wa kuamkia jumatatu.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
i mean, how have the media succeeded in presenting the case of gaza as one of a hungry person under siege, searching for food and "humanitarian" aid not worthy of dogs?!
yaani, ni vipi vyombo vya habari vimefanikiwa kuwasilisha shauri hili kama shauri moja la mtu mwenye njaa aliyezingirwa, anayetafuta misaada ya kibinaadamu na chakula kisichomfaa hata mbwa?!
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
current fifa president sepp blatter, who headed the organisation while the two-decade siege of corruption, bribery and money laundering was allegedly taking place, is seeking a fifth term at today's congress.
rais wa fifa aliye madarakani sepp blatter, ambaye ameongoza chombo hicho katika kipindi cha miongo miwili inayodaiwa kugubikwa na ufisadi, rushwa na fedha haramu, anatafuta kuchaguliwa kwa muhula wa tano kwenye baraza la leo.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie: