Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
akawaambia, "mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi yesu kwenu?" wakamhesabia sarafu thelathini za fedha;
وقال ماذا تريدون ان تعطوني وانا اسلمه اليكم. فجعلوا له ثلاثين من الفضة.
hapo, yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha.
حينئذ لما رأى يهوذا الذي اسلمه انه قد دين ندم وردّ الثلاثين من الفضة الى رؤساء الكهنة والشيوخ
habari hizo ziliibuliwa na mwandishi anayeishi washington dc, zaid benjamin, aliyeweka picha kadhaa kwenye mtandao wa facebook zikionesha sarafu na vito vya zamani vya syria zikiuzwa nchini uturuki.
صدر التحذير عن زياد بنجامين، الصحفي في صحيفة واشنطن دي سي، الذي شارك عدد من الصور لبعض الصفحات على فيسبوك التي تعرض قطعًا للآثار السورية للبيع في تركيا.
gazeri la the daily mail linadai sarafu hizo zimetengenezwa kwenye miaka isiyopungua 10,000, kutoka ragga, mji mkuu uliotangazwa na isis nchini syria, kila moja ikiuzwa kwa zaidi ya dola milioni na zimeibwa kutoka syria na iraq kupitia uturuki na lebanon.
في تقريرها، تدعي صحيفة ديلي ميل بأن آثار سورية عمرها 10 آلاف سنة من مدينة الرقة (عاصمة داعش المفترضة) قد بيعت بأكثر من مليون دولار أمريكي لكل قطعة منها وقد تم تهريبها من العراق وسوريا عبر كلٍ من تركيا ولبنان.
makala hizo zimeandikwa kuhusu ugiriki, hispania, ureno, italia na nchi nyingine za ulaya, hasa zilizoathiriwa na mgogoro wa kibenki na sarafu ya euro, na mgogoro huo unatazamwa kupitia darubini ya ushiriki wa vyombo vya habari vya kiraia vya mtandaoni.
علاوةً على المقدمة التي تشرح الأزمة وسياقها، يحتوي الكتاب على 13 مقالة عن اليونان والبرتغال وإيطاليا وأسبانيا وغيرها من الدول الأوروبية التي تأثرت بالأزمة التي طالت المصارف واليورو في فضاء الإتحاد الأوروبي وذلك من خلال أعين الإعلام الإلكتروني.