Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
miongoni mwa waliouawa ni pamoja na mshairi anayeheshimika, raia wa ghana kofi awoonor.
among the dead include renowned ghanaian poet kofi awoonor.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mwandishi wa habari za kiraia anayeheshimika mongu alitwiti picha ya maandamano (imewekwa hapa chini).
prominent citizen journalist media mongu tweeted a photo of the protest (embedded below).
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kampeni hiyo ilipata mwitikio kutoka duniani kote, kwa sababu abd el fattah alikuwa mwanablogu, mwanaharakati na mtengeneza programu anayeheshimika duniani kote.
the anniversary campaign garnered reactions from around the world, as abd el fattah's work as a blogger, activist and coder is respected worldwide.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mtangazaji huyo anayeheshimika sana nchini china, chai anafahamika kwa weledi wake, ufuatiliaji na mbinu yake ya kuhoji bila kona, na kujielekeza kwenye hoja moja kwa moja.
a highly respected reporter in china, chai is known for her sharpness, persistence and her direct, cut-to-the point interview technique.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
rais wa kwanza, julius kambarage nyerere, anayefahamika zaidi kwa jina la heshima mwalimu nyerere, amekuwa mzalendo anayeheshimika na kupendwa zaidi katika historia ya tanzania.
the first, julius kambarage nyerere, mostly referred to by his honoric title mwalimu nyerere, is the most respected and loved statesman in tanzanian history.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
…kama rais wa zamani wa chama cha wanataaluma wa tume ya vyuo vikuu nchini (naijeria), mwanaharakati wa jamii anayeheshimika na mtetezi wa haki za binadamu.
...as former asuu (academic staff union of universities) president, a respectable civil society activist and a human rights practitioner.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mwanasheria anayeheshimika na mhadhiri kwenye chuo kikuu cha ghana, kitivo cha sheria, dr. raymond atuguba ameonyesha kwa umakini jinsi wanamgambo wa eneno la delta ya naija, wanaojulikana kwa ukorofi wa kulipua mabomba ya mafuta, kuteka watu nyara na kudai dhamana kubwa na kusababisha vurugu kwenye eneo lenye utajiri wa mafuta nchini naijeria wameanza kuingia ghana kwa makundi.
a respected legal practitioner and lecturer at the university of ghana, law faculty, dr. raymond atuguba has chillingly revealed that militants in the niger delta region, notorious for blowing up oil pipes, kidnapping and demanding huge ransoms and causing unrest in the oil rich nigerian region have started tripping to ghana in droves.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit: