Je was op zoek naar: usiniambie habari hizo kabisa (Swahili - Engels)

Computervertaling

Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.

Swahili

English

Info

Swahili

usiniambie habari hizo kabisa

English

 

Van: Machinevertaling
Stel een betere vertaling voor
Kwaliteit:

Menselijke bijdragen

Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.

Voeg een vertaling toe

Swahili

Engels

Info

Swahili

tazama ukurasa maalumu wa habari hizo.

Engels

see special coverage page.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

hivi ndivyo periodismo en línea alivyotwiti habari hizo:

Engels

this is how periodismo en línea tweeted the news:

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

mtandaoni, watumiaji wa mtandao walionyesha mshangao wao kwa habari hizo.

Engels

online, netizens expressed dismay at the news.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

ameweka nakala ya habari hizo kutoka gazetini na kuwauliza wasomaji wake:

Engels

he posts a copy of the clipping from the paper and asks his readers:

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

"wamemwachia mandela" -unakumbuka wakati huo uliposikia habari hizo?

Engels

"they have released mandela"- do you remember the very moment you heard this statement made?

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak

Swahili

wakorea wengi walichukizwa na habari hizo, wengi walilita tukio hilo kama aibu ya taifa,

Engels

many koreans were appalled by the news, most of them calling the incident as a national shame.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

habari hizo ziliamsha maoni mengi na hata maswali zaidi kutoka kila pembe ya afrika kusini.

Engels

the saga elicited many opinions and even further questions from all corners of south africa.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

nadine ghazzawi, dada yae razan, aliitikia habari hizo za facebook hapo juu kwa kusema:

Engels

nadine ghazzawi, razan's sister, responds to the news on the above facebook post saying:

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

akitangaza habari hizo za bei mpya ya unga mahindi, waziri wa kilimo na mifugo emmanuel chandaalisema:

Engels

announcing the new maize floor price, agriculture and livestock minister emmanuel chenda said:

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

"haiwezekani hata kidogo!" - dmitry peskov alijibu kwa haraka habari hizo kutoka vatican.

Engels

"not a chance!" - dmitry peskov tersely commented on the latest news from vatican.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak

Swahili

mimz anaonyesha hisia zake juu ya jinsi ambavyo shirika la habari la sudani (suna) lilitangaza habari hizo.

Engels

mimz reacts to how the official sudanese news agency (suna) covered the news.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

msomaji mmoja anatoa maoni akidhani kwamba kublogu kunahitaji kazi kubwa katika kuhakikisha kuwa habari mpya zinaendelea kuwepo sambamba na kiwango cha habari hizo.

Engels

one reader comments that blogging requires a load of work in order to ensure updates and quality.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

na mimi mwenyewe nikatoa maoni: wapalestinia wengi waliuliza iweje makala hayo yatangazwe sasa, na wengine wakaoanisha habari hizo kuwa hila.

Engels

and i commented: everyone is now wondering what new information was given in the al jazeera documentary, when the whole nation knew he was poisoned. what's new is that evidence is provided, when at first there were just rumours. many palestinians questioned why the documentary was being broadcast now, and resorted to conspiracy theories as an explanation.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

hao waliotoa habari hizo kwa mitume ni: maria magdalene, yoana na maria mama wa yakobo, pamoja na wanawake wengine walioandamana nao.

Engels

it was mary magdalene, and joanna, and mary the mother of james, and other women that were with them, which told these things unto the apostles.

Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

huku shughuli za kila siku zikiendelea kama kawaida kwenye miji ya malawi, wanablogu na raia wengine wa mtandaoni kwenye tovuti za habari za kijamii wameopokea habari hizo na mitazamo mchanganyiko.

Engels

while business went on as usual in malawi's towns, bloggers and other netizens in social media sites have received the news with mixed feelings.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

habari hizo ziliibuliwa na mwandishi anayeishi washington dc, zaid benjamin, aliyeweka picha kadhaa kwenye mtandao wa facebook zikionesha sarafu na vito vya zamani vya syria zikiuzwa nchini uturuki.

Engels

the alarm was raised by washington dc-based journalist zaid benjamin, who shared screenshots of the facebook pages posting syrian antiques for sale in turkey.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

maafisa waandamizi wa serikali na makada wa chama tawala hawakufurahishwa na habari hizo zilizokuwa zikifuatilia kwa makini na kuweka wazi hali ya mhe sata na kulikuwa na majaribio mengi ya kuifungia tovuti hiyo ambayo kwa nyakati kadhaa ilizuiwa kuifanya isipatikane kwa wasomaji wanaoishi zambia.

Engels

both senior government officials and ruling party cadres were not happy with the publication for keenly following and exposing mr sata’s condition and there were many attempts to shut down the online publication which was at times blocked for access to people in zambia.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

ukurasa huo bandia wa facebook uliodaiwa kuwa wa dr. scott ulipoonekana, wavuti ya kiraia ya zambian eye iliripoti habari hizo, inagwa kulikuwa na maswali mengi kuhusiana na uhalisi wake:

Engels

when the facebook page purported to belong to dr. scott emerged, citizen media website zambian eye reported about it, although there were questions on its authenticity:

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

mtumiaji wa twita @faresadlhakuweza kuamini habari hiyo, kwa hiyo akamwandikia kamel akishangaa kama habari hizo zilikuwa zimethibitishwa ama zilikuwa ni uvumi tu: @faresadl: @basboussa1 ni kweli kabisa unagombea uraisi?

Engels

twitter user @faresadl could not believe it, so he wrote to kamel wondering if the news had been confirmed or was just a rumour: @faresadl: @basboussa1 are you really running for presidency?

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Swahili

si tu kwamba wamejihatarisha kwa ghasia wakati wakiandika habari hizo za mapambano kati ya polisi na waandamanaji, lakini pia waliporudi ofisini wakitokea kwenye uwanja wa habari, wengine wao wamejikuta wakifuatiliwa ndani kwa ndani na waandishi wenzao au hata kujikuta wakibughudhiwa na wahuni wanaounga mkono msimamo wa beijing.

Engels

not only have they exposed themselves to violence while covering clashes between police and protesters, when they return to the office from the field, some of them have to endure the push for self-censorship from the newsroom or even harassment from pro-beijing thugs.

Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:

Krijg een betere vertaling met
7,734,442,892 menselijke bijdragen

Gebruikers vragen nu voor assistentie



Wij gebruiken cookies om u de best mogelijke ervaring op onze website te bieden. Door de website verder te gebruiken, geeft u toestemming voor het gebruik van cookies. Klik hier voor meer informatie. OK