Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
wafalme wa dunia waliofanya uzinzi naye na kuishi naye maisha ya anasa wataomboleza na kulia wakati watakapoona moshi wa mji huo unaoteketea.
ja teda uluvad taga ja kaebavad ilmamaa kuningad, kes temaga on hooranud ja toredasti elanud, kui nad näevad tema põlemise suitsu,
wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye; na wakazi wa dunia wamelewa divai ya uzinzi wake."
kellega on hooranud ilmamaa kuningad ja kelle hooruse viinast on ilmamaa elanikud joobnuks saanud!”
ndugu, twataka mjue ukweli kuhusu wale ambao wamekwisha fariki dunia, ili msipatwe na huzuni kama watu wengine wasio na matumaini.
aga me ei taha, et teil, vennad, oleks teadmata nende järg, kes on läinud magama, et teiegi ei läheks nõnda kurvaks nagu teised, kellel ei ole lootust.
kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.
ja ma nägin ühe tema peadest olevat nagu surmavalt haavatud; ja tema surmahaav paranes. ja kogu ilmamaa imetles jälgides metsalist,
kweli nawaambieni, mpaka hapo mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata nukta moja au sehemu ndogo kabisa ya sheria itakayoondolewa, mpaka yote yametimia.
sest tõesti ma ütlen teile, kuni kaob taevas ja maa, ei kao käsuõpetusest mitte ühtki tähekest või ühtki märgikest, enne kui kõik on sündinud.
aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
ja ta eksitab neid, kes maa peal elavad, tunnustähtedega, mis temale on antud teha esimese metsalise ees, ning käsib neid, kes maa peal elavad, teha kuju metsalisele, kellel oli mõõga haav ja kes virgus ellu.
mungu hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali alileta gharika kuu juu ya nchi ile ya watu wasiomcha mungu; lakini noa ambaye alihubiri uadilifu, mungu alimwokoa pamoja na watu wengine saba.
ja kui ta ei säästnud muistset maailma, vaid varjas ainult õigusekuulutajat noad, neid kaheksakesi, kui ta laskis tulla veeuputuse jumalatute maailma peale;
lakini wakati roho mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika yerusalemu, katika nchi yote ya yudea na samaria, na hata miisho ya dunia."
aga te saate püha vaimu väe, kes tuleb teie peale, ja peate olema minu tunnistajad jeruusalemmas ja kõigel juuda- ja samaariamaal ja maailma otsani!”
na kutoka kwa yesu kristo, shahidi mwaminifu, wa kwanza kufufuliwa kutoka wafu, na ambaye ni mtawala wa wafalme wa dunia. yeye anatupenda, na kwa damu yake ametufungua kutoka vifungo vya dhambi zetu,
ja jeesuselt kristuselt, kes on ustav tunnistaja, esmasündinu surnute seast ja maailma kuningate valitseja. temale, kes meid on armastanud ja meid on vabastanud meie pattudest oma verega,
"basi, yule bwana akamsifu huyo karani asiye mwaminifu, kwa kuwa alitumia busara. kwa maana watu wa dunia hii wana busara zaidi na mambo yao kuliko watu wa mwanga."
ja isand kiitis seda ülekohtust majapidajat, et ta arukalt oli teinud, sest selle maailma lapsed on oma sugup