Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
ndugu theofilo, katika kitabu cha kwanza niliandika juu ya mambo yote yesu aliyotenda na kufundisha tangu mwanzo wa kazi yake
esimese raamatu, teofilos, ma kirjutasin kõigest sellest, mida jeesus algusest peale tegi ja õpetas
mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari, na wa kushoto juu ya nchi kavu,
ja tema käes oli avatud raamatuke, ja ta pani oma parema jala mere ja vasaku maa peale.
tena akaniambia, "usiyafiche kama siri maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.
ja ta ütles mulle: „Ära pane pitseriga kinni selle raamatu ennustussõnu, sest aeg on ligidal!
hapo nikasema: niko hapa ee mungu, tayari kufanya mapenzi yako kama ilivyoandikwa juu yangu katika kitabu cha sheria."
siis ma ütlesin: vaata, ma tulen — rullraamatus on minust kirjutatud — tegema su tahtmist, oh jumal!”
kisha katika mkono wa kulia wa huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, nikaona kitabu; nacho kilikuwa kimeandikwa ndani na nje na kufungwa na mihuri saba.
ja ma nägin selle paremas käes, kes istus aujärjel, rullraamatut, täis kirjutatud seestpoolt ja väljastpoolt ja kinni pandud seitsme pitseriga.
heri yake mtu anayesoma kitabu hiki; heri yao wale wanaosikiliza maneno ya ujumbe huu wa kinabii na kushika yaliyoandikwa humu, maana wakati umekaribia ambapo mambo haya yatatukia.
Õnnis on see, kes loeb, ja need, kes kuulevad selle prohvetliku kuulutuse sõnu ja peavad tallel, mis sellesse on kirja pandud; sest aeg on ligidal.
lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye mambo ya kuchukiza au ya uongo hataingia humo. ni wale tu walioandikwa katika kitabu cha uzima cha mwanakondoo ndio watakaoingia ndani.
aga sinna sisse ei pääse midagi, mis ei ole puhas, ei keegi, kes teeb jälkusi ja valet, vaid üksnes need, kes on kirjutatud talle eluraamatusse.
basi, nikakichukua kitabu hicho kidogo kutoka mkononi mwa huyo malaika, nikakila; nacho kilikuwa kitamu kinywani mwangu kama asali, lakini nilipokimeza kikawa kichungu tumboni mwangu.
ja ma võtsin raamatukese ingli käest ja sõin selle ära. ja see oli mu suus magus nagu mesi. ja kui ma selle olin söönud, sai see mu kõhus mõruks!
kwanza mose aliwatangazia watu wote amri zote kama ilivyokuwa katika sheria; kisha akachukua damu ya ndama pamoja na maji, na kwa kutumia majani ya mti uitwao husopo na pamba nyekundu, akakinyunyizia kile kitabu cha sheria na hao watu wote.
sest kui mooses kõigele rahvale oli ette lugenud kogu käsu käsuõpetuse järgi, võttis ta vasikate ja sikkude vere ühes vee ja punase villa ja iisopiga ja piserdas seda niihästi raamatu enese kui ka kõige rahva peale
na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, mungu atamnyang'anya sehemu yake katika ule mti wa uzima, na sehemu yake katika mji mtakatifu, ambavyo vimeelezwa katika kitabu hiki.
ja kui keegi võtab midagi ära selle prohvetiraamatu sõnadest, siis jumal võtab ära tema osa elupuust ja pühast linnast, millest on kirjutatud selles raamatus!
kisha mmoja wa wale wazee akaniambia, "usilie! tazama! simba wa kabila la yuda, mjukuu maarufu wa daudi, ameshinda. yeye anaweza kuivunja mihuri yake saba na kukifungua hicho kitabu."
ja üks vanemaist ütles mulle: „Ära nuta! vaata, lõukoer juuda suguharust, taaveti juur, on võitnud nii, et tema võib avada raamatu ja lahti võtta selle seitse pitserit!”