Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
basi, akawafukuza kutoka mahakamani.
ויגרש אתם מלפני כסא המשפט׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue pia koti lako.
ואשר יחפץ לריב עמך ולקחת את כתנתך תן לו גם את חמעיל׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
jihadharini na watu, maana watawapeleka ninyi mahakamani na kuwapiga viboko katika masunagogi yao.
והשמרו לכם מבני האדם כי ימסרו אתכם לסנהדריות ויכו אתכם בשוטים בבתי כנסיותיהם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, walipofika hapa sikukawia, ila nilifanya kikao mahakamani kesho yake, nikaamuru mtu huyo aletwe.
ולכן כאשר באו הנה יחד חשתי ולא התמהמהתי כי ממחרת היום ישבתי על כסא המשפט ואצוה להביא את האיש׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini ninyi mnawadharau watu maskini! je, matajiri si ndio wanaowakandamizeni na kuwapeleka mahakamani?
ואתם הכלמתם את העני הלא העשירים הם העשקים אתכם והם הסחבים אתכם אל בתי דין׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.
כי אח רב עם אחיו וזאת לפני לא מאמינים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
sikujua la kufanya kuhusu shauri hilo. basi, nilimwuliza paulo kama angependa kwenda mahakamani kule yerusalemu kwa ajili ya mashtaka hayo.
ותכבד בעיני השאלה הזאת ואמר החפץ אתה ללכת ירושלים ולהשפט שם על אלה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, watakapowapeleka ninyi mahakamani, msiwe na wasiwasi mtasema nini au namna gani; wakati utakapofika, mtapewa la kusema.
וכי ימסרו אתכם אל תדאגו איך ומה תדברו כי ינתן לכם בשעה ההיא את אשר תדברו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
"lakini ninyi jihadharini. maana watu watawapelekeni mahakamani, na kuwapigeni katika masunagogi. mtapelekwa mbele ya watawala na wafalme kwa sababu yangu ili mpate kunishuhudia kwao.
אלה ראשית החבלים ואתם השמרו בנפשתיכם כי ימסרו אתכם לסנהדריות והכיתם בבתי כנסיות ולפני משלים ומלכים תובאו למעני לעדות להם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. anayemwita ndugu yake: pumbavu atastahili kuingia katika moto wa jehanamu.
אבל אני אמר לכם כל אשר יקצף על אחיו חנם מחיב הוא לבית דין ואשר יאמר אל אחיו רקא מחיב הוא לסנהדרין ואשר יאמר אתה הנבל מחיב לאש גיהנם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
"patana na mshtaki wako upesi mkiwa bado njiani, kwenda mahakamani. la sivyo, mshtaki wako atakukabidhi kwa hakimu, naye hakimu atakukabidhi kwa askari, nawe utafungwa gerezani.
מהר התרצה לאיש ריבך בעודך בדרך אתו פן יסגיר אתך איש ריבך אל השפט והשפט יסגירך לשוטר והשלכת את בית הכלא׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
wakati huo paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni masadukayo na nyingine mafarisayo. basi, alipaaza sauti yake mbele ya baraza: "ndugu zangu, mimi ni mfarisayo, mwana wa mfarisayo. mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."
ופולוס ידע כי מקצתם צדוקים ומקצתם פרושים ויצעק בתוך הסנהדרין אנשים אחים פרוש בן פרוש אנכי ועל תקות המתים ותחיתם אני נדין׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak