Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,
ויהי בהיותם שם וימלאו ימיה ללדת׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kesho yake, walipokuwa wanatoka bethania, yesu aliona njaa.
ויהי ממחרת בצאתם מבית היני וירעב׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.
וידברו עליו שטנה הכהנים הגדולים והזקנים והוא לא ענה דבר׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, yesu mwenyewe akatokea, akatembea pamoja nao.
ויהי בדברם ובהתוכחם יחד ויגש ישוע אף הוא וילך אתם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kesho yake walipokuwa wakishuka kutoka kule mlimani, kundi kubwa la watu lilikutana na yesu.
ויהי ממחרת ברדתם מן ההר ויצא עם רב לקראתו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
walifurahi kumchukua yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walipokuwa wanakwenda.
ויואילו לקחת אתו אל האניה ורגע הגיעה האניה לארץ אשר הם הלכים שמה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
watu wote walipokuwa wamekwisha batizwa, yesu naye alibatizwa. na alipokuwa akisali, mbingu zilifunguka,
ויהי בהטבל כל העם וגם ישוע נטבל ומתפלל ויפתחו השמים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo.
המה יצאו והנה הביאו אליו איש אלם אחוז שד׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
walipokuwa wanapita katika ile miji waliwapa watu yale maagizo yaliyotolewa na mitume na wazee kule yerusalemu, wakawaambia wayazingatie.
ויהי בעברם בערים וימסרו להם לשמר את הפקודים אשר גזרו השליחים והזקנים אשר בירושלים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu akawajibu, "je, hamjasoma jinsi alivyofanya daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?
ויען ישוע ויאמר אליהם הלא קראתם את אשר עשה דוד בהיותו רעב הוא ואשר היו אתו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
wanafunzi wote wawili walipokuwa wakiwaambia hayo, yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia "amani kwenu."
עודם מדברים כדברים האלה והוא ישוע עמד בתוכם ויאמר אליהם שלום לכם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
paulo na barnaba walipokuwa wanatoka katika ile sunagogi, wale watu waliwaalika waje tena siku ya sabato iliyofuata, waongee zaidi juu ya mambo hayo.
ובצאת היהודים מבית הכנסת בקשו מהם הגוים לדבר אליהם את הדברים האלה בשבת הבאה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
siku moja ya sabato, yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano. walipokuwa wanatembea, wanafunzi wake wakaanza kukwanyua masuke ya ngano.
ויהי כעברו בשבת בין הקמה ויחלו תלמידיו לקטף מלילת בלכתם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
baada ya petro na yohane kutoa ushuhuda wao na kuutangaza ujumbe wa bwana, walirudi yerusalemu. walipokuwa wanarudi walihubiri habari njema katika vijiji vingi vya samaria.
והמה אחרי אשר העידה ודברו את דבר יהוה שבו ירושלים ויבשרו את הבשורה בכפרים רבים אשר לשמרונים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini huyo kijana akawaambia, "msishangae. mnamtafuta yesu wa nazareti aliyesulubiwa. amefufuka, hayumo hapa. tazameni mahali walipokuwa wamemlaza.
ויאמר אליהן אל תשתוממנה את ישוע הנצרי אתן מבקשות את הנצלב הוא קם איננו פה הנה זה המקום אשר השכיבהו בו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
walipokuwa wanafanya ibada yao kwa bwana na kufunga, roho mtakatifu alisema: "niteulieni barnaba na saulo kwa ajili ya kazi niliyowaitia."
ויהי בשרתם את יהוה ובצומם ויאמר רוח הקדש הבדילו לי את בר נבא ואת שאול למלאכה אשר קראתים לה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
walipokuwa bado wanaendelea na safari walifika mahali penye maji na huyo ofisa akasema, "mahali hapa pana maji; je, kuna chochote cha kunizuia nisibatizwe?"
ויהי בעברם בדרך ויבאו אל מקום מים ויאמר הסריס הנה מים מה ימנעני מהטבל׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
walipokuwa wanakula, yesu alitwaa mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake akisema, "twaeni; huu ni mwili wangu."
ויהי באכלם ויקח ישוע לחם ויברך ויבצע ויתן להם ויאמר קחו אכלו זה הוא גופי׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni habari njema kwa nguvu ya roho mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
ונגלה להם כי לא לפנשם כי אם לנו שרתו בדברים ההם אשר הגד לכם עתה על פי המבשרים אתכם ברוח הקדש השלוח משמים דברים אשר מלאכי אלהים חמדו להשקיף אל תוכם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, hao wajumbe wa yohane walipokuwa wanakwenda zao, yesu alianza kuyaambia makundi ya watu habari za yohane: "mlikwenda kutazama nini kule jangwani? je, mlitaka kuona mwanzi unaotikiswa na upepo?
המה הלכו להם וישוע החל לדבר אל המון העם על אדות יוחנן ויאמר מה זה יצאתם המדברה לראות הקנה אשר ינוע ברוח׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak