Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
alipopata lulu moja ya thamani kubwa, alienda akauza yote aliyokuwa nayo, akainunua lulu ile.
inventa autem una pretiosa margarita abiit et vendidit omnia quae habuit et emit ea
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
baada ya kuwasalimu, paulo aliwapa taarifa kamili kuhusu yote mungu aliyokuwa ametenda kati ya mataifa kwa njia ya utumishi wake.
quos cum salutasset narrabat per singula quae fecisset deus in gentibus per ministerium ipsiu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
ndiyo maana sisi tulifarijika sana. siyo kwamba tulifarijika tu, ila pia tito alitufurahisha kwa furaha aliyokuwa nayo kutokana na jinsi mlivyomchangamsha moyo.
ideo consolati sumus in consolatione autem nostra abundantius magis gavisi sumus super gaudium titi quia refectus est spiritus eius ab omnibus vobi
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini maandiko matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema yesu.
cum ergo resurrexisset a mortuis recordati sunt discipuli eius quia hoc dicebat et crediderunt scripturae et sermoni quem dixit iesu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
idumea, ng'ambo ya mto yordani, tiro na sidoni. watu hao wengi walimwendea yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
et ab hierosolymis et ab idumea et trans iordanen et qui circa tyrum et sidonem multitudo magna audientes quae faciebat venerunt ad eu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
miongoni mwa wale waliotusikiliza alikuwa mwanamke mmoja mcha mungu aitwaye ludia mwenyeji wa thuatira, ambaye alikuwa mfanyabiashara ya nguo za kitani za rangi ya zambarau. bwana aliufungua moyo wake hata akayapokea yale maneno paulo aliyokuwa anasema.
et quaedam mulier nomine lydia purpuraria civitatis thyatirenorum colens deum audivit cuius dominus aperuit cor intendere his quae dicebantur a paul
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
"ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyofichika shambani. mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile.
simile est regnum caelorum thesauro abscondito in agro quem qui invenit homo abscondit et prae gaudio illius vadit et vendit universa quae habet et emit agrum illu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
paulo alikaa bado na wale ndugu huko korintho kwa siku nyingi. kisha aliwaaga, akapanda meli kwenda siria pamoja na priskila na akula. huko kenkrea, alinyoa nywele zake kwa sababu ya nadhiri aliyokuwa ameweka.
paulus vero cum adhuc sustinuisset dies multos fratribus valefaciens navigavit syriam et cum eo priscilla et aquila qui sibi totonderat in cencris caput habebat enim votu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, sehemu ya maandiko matakatifu aliyokuwa anasoma ilikuwa hii: "alikuwa kama kondoo anayepelekwa kuchinjwa; kimya kama vile mwana kondoo anaponyolewa manyoya, yeye naye hakutoa sauti hata kidogo.
locus autem scripturae quam legebat erat hic tamquam ovis ad occisionem ductus est et sicut agnus coram tondente se sine voce sic non aperuit os suu
Laatste Update: 2012-05-04
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak