Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
napenda kuwajulisheni kwamba ndugu yetu timotheo amekwisha funguliwa gerezani. kama akifika hapa mapema, nitakuja naye nitakapokuja kwenu.
znajte da je otiao na brat timotije, s kojim, ako skoro dodje, videæu vas.
nakuandikia wewe mwanangu mpenzi timotheo. nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa mungu baba na kristo yesu bwana wetu.
timotiju, ljubaznom sinu, blagodat, milost, mir od boga oca i hrista isusa, gospoda naeg.
nakuandikia timotheo mwanangu halisi katika imani. nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa mungu baba yetu na kristo yesu bwana wetu.
timotiju, pravom sinu u veri, blagodat, milost, mir od boga oca naeg i hrista isusa, gospoda naeg.
baada ya sila na timotheo kuwasili kutoka makedonia, paulo alianza kutumia wakati wake wote kwa ajili ya kuhubiri, akawathibitishia wayahudi kwamba yesu ndiye kristo.
i kad sidjoe iz makedonije sila i timotije, navali duh sveti na pavla da svedoèi jevrejima da je isus hristos.
na kumtuma kwenu ndugu yetu timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya mungu katika kuhubiri habari njema ya kristo. tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
i poslasmo timotija, brata svog i slugu boijeg, i pomagaèa svog u jevandjelju hristovom, da vas utvrdi i utei u veri vaoj;
sasa timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
a sad kad dodje timotije k nama od vas i javi nam vau veru i ljubav, i da imate dobar spomen o nama svagda, eleæi nas videti, kao i mi vas,
paulo alifika derbe na lustra, ambako aliishi mfuasi mmoja aitwaye timotheo. mama yake ambaye pia alikuwa mfuasi, alikuwa myahudi; lakini baba yake alikuwa mgiriki.
dodje pak u dervu i u listru, i gle, onde bee neki uèenik, po imenu timotije, sin neke ene jevrejke koja verovae, a oca grka;
sopatro, mwana wa pirho kutoka berea, aliandamana naye; pia aristarko na sekundo kutoka thesalonika, gayo kutoka derbe, timotheo, tukiko na trofimo wa mkoa wa asia.
i podje s njim do azije sosipatar pirov iz verije, i aristarh i sekund iz soluna, i gaj iz derve i timotije, i tihik i trofim iz azije.
maana kristo yesu, mwana wa mungu, ambaye mimi, silwano na timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa "ndiyo" na "siyo"; bali yeye daima ni "ndiyo" ya mungu.
jer sin boji isus hristos, kog mi vama pripovedasmo ja i silvan i timotije, ne bi da i ne, nego u njemu bi da.