A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
yeyote aliye nyuma ya upotoshaji huu ameweza kwa kiasi kikubwa kucheza na hisia za kutokuamini walizonazo wanaharakati kuhusu kushindwa kwa viongozi wa dunia kuchukua hatua kuhusu mabadiliko ya tabianchi.
whoever is behind the spoof, is effectively playing on the disbelief that many activists already feel at the failure of world leaders to take definitive action on climate change.
kuelekea kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabianchi utakaofanyika copenhagen (cop15) mwezi desemba 2009, hizi ni baadhi ya nyenzo za mtandoni za kufuatilia mabadiliko ya tabia nchi.
leading up to the climate change conference in copenhagen (cop15) in december 2009, here is a sample of online tools to monitor climate change.
kwa mujibu wa kanusho bandia, serikali ya canada ilikuwa imechanganyikiwa kwamba habari za kubadili msimamo wake zilipokelewa vizuri na nchi zinazoendelea kwenye mkutano wa umoja wa mtaifa wa mabadiliko ya tabianchi(cop15) mjini copenhagen.
according to the fake denouncement, the canadian government was especially frustrated that the news of their change of heart had been met so positively by developing nations at the united nations climate change summit (cop15) in copenhagen.
lucas liganga aandika kuhusu usaliti wa waziri mkuu wa ethiopia: "kwa bahati mbaya, waziri mkuu wa ethiopia meles zenawi ambaye ni msemaji wa afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi amejiunga na ufaransa na kubadili nakala ya afrika, jambo ambalo limewastua wajumbe wa afrika."
lucas liganga writes about ethiopian prime ministers's betrayal: "unfortunately, ethiopian prime minister meles zenawi who is the spokesman of africa on climate change uncharacteristically teamed up with france and heavily doctored the african document, a move that shocked the african negotiators."