Вы искали: kushambulia (Суахили - Английский)

Компьютерный перевод

Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.

Swahili

English

Информация

Swahili

kushambulia

English

 

От: Машинный перевод
Предложите лучший перевод
Качество:

Переводы пользователей

Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.

Добавить перевод

Суахили

Английский

Информация

Суахили

na mwenyezi mungu ndiye mkali zaidi wa kushambulia na mkali zaidi wa kuadhibu.

Английский

allah is stronger in might and stronger in inflicting punishment.

Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:

Суахили

chloroquine ni dawa ya kuzuia malaria ambayo hutumika pia dhidi ya magonjwa fulani ya kingamwili kushambulia mwili kimakosa.

Английский

chloroquine is an anti-malarial medication that is also used against some auto-immune diseases.

Последнее обновление: 2020-08-25
Частота использования: 1
Качество:

Суахили

miaka miwili iliyopita, muslim brotherhood kilikuwa kinatawala, kikituma wanajeshi kushambulia watu waliokuwa wakiandamana kwa kukaa.

Английский

2 yrs ago, mb was ruling, sent cadets to attack sit-in.

Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:

Суахили

huenda mwenyezi mungu akayazuia mashambulio ya walio kufuru. na mwenyezi mungu ndiye mkali zaidi wa kushambulia na mkali zaidi wa kuadhibu.

Английский

and allah is stronger in might and stronger in punishing.

Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:

Суахили

kundi la waasi linalojulikana kwa jina la flec na ambalo limedai kuhusika na shambulizi hilo lilieleza kwenye taarifa yake kwamba wao walikuwa wamelenga kushambulia msafara wa polisi na si timu ya wachezaji ya togo.

Английский

flec, the rebel group which has claimed responsibility for the attack, indicated in a statement that the police envoy, and not the togolese players, were the target.

Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:

Суахили

hazem barakat anasema kuwa, polisi hawakutimiza wajibu wao kufuatia salafists kushambulia nyumba waliyokuwa wakikutania waumini wa shia huko misri (@7azem122)

Английский

police remained idle as a home where shia egyptians were meeting today was attacked by salafists, says hazem barakat (@7azem122)

Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:

Суахили

tufike mahali tuelewe kuwa hawa watu maarufu wana tabia ya kushambulia na hata kuzikosoa nchi zao walikozaliwa, si kwa sababu wanaipenda nchi hii lakini kwa sababu siku moja wanaweza kujikuta wakihamia marekani, ulaya na hata kwenye nchi nyinginezo.

Английский

we should understand that these public figures attack or criticize their home country, not because they love this country but one day have the capability to embrace the united states, europe and other countries.

Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:

Суахили

mwezi novemba, watu nane waliuawa huko al ahsa, kwenye jimbo la mashariki, baada ya wanamgambo kushambulia kituo cha kijamii kinachomilikiwa na shia, mahali ambapo sherehe ya kidini ilikuwa ikiendelea.

Английский

in november, eight people were killed in al ahsa, also in the eastern province, when gunmen attacked a shia community centre, where a religious ceremony was taking place.

Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:

Суахили

alisema anga imekuwa kimya kwa muda wa saa moja na nusu hivi huko khan younis, lakini meli za kivita zilikuwa zinaendelea kushambulia sehemu za mwambao.sauti yake likuwa imara, kama vile ilivyokuwa wakati wowote kabla ya mauaji kuanza, na aliniambia nisihofu sana.

Английский

he said the sky had been quiet for about half an hour over khan younis, but the warships were attacking the shore. his voice was strong, just like it was when i'd talk to him at any time before the massacre began, and told me to not worry so much.

Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:

Суахили

bango la anonymous, likitoa wito kwa wanaharakati kushambulia mitandao yaa serikali ya tunisiakichuja habari cha tunisia, ambacho kwa kawaida hujulikana kama ammar, kinaeendelea kutishia kuziharibu na kuzifunga anuani za wanaharakati wa mtandaoni, katika nchi hiyo ambayo imekuwa ikishuhudia wimbi la maandamano tangu katikati ya mwezi desemba.

Английский

this post is part of our special coverage of tunisia revolution 2011. anonymous' poster calling activists to join the attack on tunisian government sites the tunisian censor, commonly known as ammar, continues to wreak havoc on activists' accounts, in a country that has been witnessing a wave of protests since the middle of december.

Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:

Получите качественный перевод благодаря усилиям
7,764,000,102 пользователей

Сейчас пользователи ищут:



Для Вашего удобства мы используем файлы cookie. Факт перехода на данный сайт подтверждает Ваше согласие на использование cookies. Подробнее. OK