Profesyonel çevirmenler, işletmeler, web sayfaları ve erişimin serbest olduğu çeviri havuzlarından.
makuhani wakuu na mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni.
los principales sacerdotes y los fariseos habían dado órdenes de que si alguno supiese dónde estaba, lo informara para que le tomaran preso
yesu akawaonya, "angalieni sana! jihadharini na chachu ya mafarisayo na chachu ya herode."
y él les mandó, diciendo: --mirad; guardaos de la levadura de los fariseos y de la levadura de herodes
yesu akawauliza walimu wa sheria na mafarisayo, "je, ni halali au la kumponya mtu siku ya sabato?"
entonces respondiendo jesús, habló a los maestros de la ley y a los fariseos, diciendo: --¿es lícito sanar en sábado, o no
hapo baadhi ya mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia yesu, "mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!"
entonces, algunos de los fariseos de entre la multitud le dijeron: --maestro, reprende a tus discípulos
hata hivyo, wengi wa viongozi wa wayahudi walimwamini yesu. lakini kwa sababu ya mafarisayo, hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi.
no obstante, aun de entre los dirigentes, muchos creyeron en él, pero por causa de los fariseos no lo confesaban, para no ser expulsados de la sinagoga
basi, mafarisayo wakaambiana, "mnaona? hatuwezi kufanya chochote! tazameni, ulimwengu wote unamfuata."
entonces los fariseos dijeron entre sí: --ved que nada ganáis. ¡he aquí, el mundo se va tras él
kisa chenyewe kilikuwa hiki: masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. lakini mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
porque los saduceos dicen que no hay resurrección, ni ángeles, ni espíritus; pero los fariseos afirman todas estas cosas