来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
nao hawakuweza kumjibu swali hilo.
e non potevano rispondere nulla a queste parole
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
basi hawakuweza kuukwea, wala hawakuweza kuutoboa.
così non poterono scalarlo e neppure aprirvi un varco.
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.
e non poterono restare in piedi né essere soccorsi.
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza."
ho pregato i tuoi discepoli di scacciarlo, ma non ci sono riusciti»
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
nilimleta kwa wanafunzi wako lakini hawakuweza kumponya."
l'ho gia portato dai tuoi discepoli, ma non hanno potuto guarirlo»
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
hivyo hawakuweza kuamini, kwani isaya tena alisema:
e non potevano credere, per il fatto che isaia aveva detto ancora
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.
quando poi videro in piedi vicino a loro l'uomo che era stato guarito, non sapevano che cosa rispondere
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
lakini hawakuweza kumshinda kwa sababu ya hekima yake na kwa sababu ya yule roho aliyeongoza maneno yake.
ma non riuscivano a resistere alla sapienza ispirata con cui egli parlava
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
kwa nini wazazi hawakuweza kusubiri kwa miaka mingine michache mpaka hapo mtoto yule atakapoweza kufanya uamuzi yeye mwenyewe?
perché i genitori non potevano aspettare qualche altro anno, fino a quando la minore non fosse stata in grado di decidere per se stessa?
最后更新: 2016-02-24
使用频率: 1
质量:
wakati paulo alipofika, wayahudi waliokuwa wametoka yerusalemu walimzunguka wakaanza kutoa mashtaka mengi mazitomazito ambayo hawakuweza kuthibitisha.
appena giunse, lo attorniarono i giudei discesi da gerusalemme, imputandogli numerose e gravi colpe, senza però riuscire a provarle
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
saulo alipofika yerusalemu alijaribu kujiunga na wale wanafunzi. lakini wote walimwogopa, na hawakuweza kuamini kwamba yeye amekuwa mfuasi.
venuto a gerusalemme, cercava di unirsi con i discepoli, ma tutti avevano paura di lui, non credendo ancora che fosse un discepolo
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
kulipokucha, wanamaji hawakuweza kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua kutia nanga huko kama ikiwezekana.
fattosi giorno non riuscivano a riconoscere quella terra, ma notarono un'insenatura con spiaggia e decisero, se possibile, di spingere la nave verso di essa
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
na pia qaruni na firauni na hamana! na musa aliwajia kwa ishara waziwazi, lakini walijivuna katika nchi, wala hawakuweza kushinda.
ugualmente [accadde] a qârûn e faraone e hâmân, quando mosè portò loro le prove, ma furono superbi sulla terra. non poterono sfuggirci.
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
wanaapa kwa mwenyezi mungu kuwa hawakusema; nao wamekwisha sema neno la ukafiri, na wakakufuru baada ya kusilimu kwao. na wakajihimu kufanya ambayo hawakuweza kuyafikia.
giurano [in nome di allah] che non hanno detto quello che in realtà hanno detto, un'espressione di miscredenza; hanno negato dopo [aver accettato] l'islàm e hanno agognato quel che non hanno [potuto] ottenere.
最后更新: 2014-07-03
使用频率: 1
质量:
kila mara anapomvamia, humwangusha chini na kumfanya atokwe na povu kinywani, akisaga meno na kuwa mkavu mwili wote. niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo lakini hawakuweza."
quando lo afferra, lo getta al suolo ed egli schiuma, digrigna i denti e si irrigidisce. ho detto ai tuoi discepoli di scacciarlo, ma non ci sono riusciti»
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
yesu akawaambia, "tupeni wavu upande wa kulia wa mashua nanyi mtapata samaki." basi, wakatupa wavu lakini sasa hawakuweza kuuvuta tena kwa wingi wa samaki.
allora disse loro: «gettate la rete dalla parte destra della barca e troverete». la gettarono e non potevano più tirarla su per la gran quantità di pesci
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式
alisema hivyo kwa kuwa kulikuwa na watu wengi mno walikuwa wanafika hapo na kuondoka hata yesu na wanafunzi wake hawakuweza kupata nafasi ya kula chakula. basi, yesu akawaambia, "twendeni peke yetu mahali pa faragha kula chakula, mkapumzike kidogo."
ed egli disse loro: «venite in disparte, in un luogo solitario, e riposatevi un po'». era infatti molta la folla che andava e veniva e non avevano più neanche il tempo di mangiare
最后更新: 2012-05-06
使用频率: 1
质量:
警告:包含不可见的HTML格式