Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
lakini yesu akaendelea kutazama amwone huyo aliyefanya hivyo.
and he looked round about to see her that had done this thing.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
and as he went, they spread their clothes in the way.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
akaendelea kusema, "kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia najisi.
and he said, that which cometh out of the man, that defileth the man.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, bwana akaendelea kusema, "sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.
and the lord said, hear what the unjust judge saith.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
naye yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na mungu na watu.
and jesus increased in wisdom and stature, and in favour with god and man.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akaendelea kusema, "ufalme wa mungu ni kama ifuatavyo. mtu hupanda mbegu shambani.
and he said, so is the kingdom of god, as if a man should cast seed into the ground;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
waliposikia akiongea nao kwa kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. naye paulo akaendelea kusema,
(and when they heard that he spake in the hebrew tongue to them, they kept the more silence: and he saith,)
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akaendelea kusema, "basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? ni watu wa namna gani?
and the lord said, whereunto then shall i liken the men of this generation? and to what are they like?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
halafu akaendelea kusema: "taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
then said he unto them, nation shall rise against nation, and kingdom against kingdom:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akaendelea kuwaambia, "kweli nawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona ufalme wa mungu ukija kwa enzi."
and he said unto them, verily i say unto you, that there be some of them that stand here, which shall not taste of death, till they have seen the kingdom of god come with power.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akaendelea kusema, "ni nani basi mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watu wake, awape chakula kwa wakati wake?
who then is a faithful and wise servant, whom his lord hath made ruler over his household, to give them meat in due season?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akaendelea: "nadhani kwamba dunia yetu imo katika machafuko hivi sasa, vurugu zimechukua nafasi ya maongezi na hasira zimechukua nafasi ya huruma."
she continued: “i feel that our world is in a crisis at the present time, violence has replaced dialogue and anger replaced compassion.”
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: "mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu.
then began he to speak to the people this parable; a certain man planted a vineyard, and let it forth to husbandmen, and went into a far country for a long time.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akaendelea kusema: "ni lazima mwana wa mtu apate mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa sheria; atauawa, lakini siku ya tatu atafufuliwa."
saying, the son of man must suffer many things, and be rejected of the elders and chief priests and scribes, and be slain, and be raised the third day.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting