From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
individuals may also have difficulty accessing electricity to charge their mobile phones.
watu wanaweza pia kuwa na ugumu wa kupata umeme wa kuchaji simu zao za mkononi.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
the issue of accessing pure and affordable water is a fundamental human right but this is not given the much needed attention.
suala la upatikanaji wa maji safi na kwa bei nafuu ni haki ya kibinadamu lakini hii haijapewa kipaumbele inavyohitajika sana.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
just today, activists claimed that the government has hacked into their email accounts, accessing their blogs and social networking sites, and disabling them.
ni leo tu, wanaharakati wamedai kwamba serikali imeingilia anuani zao za barua pepe,na kuziingilia blogu na mitandao yao ya kijamii, na kuzizuia zisifanye kazi.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
they utilized a hospital-grade anti-viral solution to disinfect every surface, as well as the lobby and elevator banks accessing our floor.
walitumia myeyusho wa kuua virusi unaotumiwa hospitalini ili kutakasa kila mahali, hata pia ukumbini na ngazi zinazofikia sakafu yetu.
Last Update: 2020-08-25
Usage Frequency: 1
Quality:
uganda's internet penetration rate is a little over six percent, a number that prevents large swaths of the population from joining uganda's blogren or accessing the global blogosphere.
inakadiriwa kuwa matumizi na kuenea kwa intaneti nchini uganda ni kwa kiwango cha asilimia sita tu, idadi ambayo inazuia sehemu kubwa ya watu kujiunga na ulimwengu wa blogu nchini uganda au kuweza kuwasiliana na ulimwengu wa blogu duniani.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
and according to activists on the ground, the government retaliated by 'hijacking' the email accounts of activists, including lawyers and journalists, and accessing their blogs and social networking sites, such as on facebook, and deactivating them.
na kwa mujibu wa wanaharakati waliopo nchini humo, serikali ilijibu mashambulizi kwa ‘kuziteka’ anuani za barua pepe za wanaharakati, ikiwa ni pamoja na zile za wanasheria na za waandishi, na kuweza kuzitumia blogu zao na mitandao ya kijamii, kama vile facebook,na kuzizuia zisiweze kufanya kazi.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality: