Results for accessing translation from English to Swahili

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

English

Swahili

Info

English

individuals may also have difficulty accessing electricity to charge their mobile phones.

Swahili

watu wanaweza pia kuwa na ugumu wa kupata umeme wa kuchaji simu zao za mkononi.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

the issue of accessing pure and affordable water is a fundamental human right but this is not given the much needed attention.

Swahili

suala la upatikanaji wa maji safi na kwa bei nafuu ni haki ya kibinadamu lakini hii haijapewa kipaumbele inavyohitajika sana.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

just today, activists claimed that the government has hacked into their email accounts, accessing their blogs and social networking sites, and disabling them.

Swahili

ni leo tu, wanaharakati wamedai kwamba serikali imeingilia anuani zao za barua pepe,na kuziingilia blogu na mitandao yao ya kijamii, na kuzizuia zisifanye kazi.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

they utilized a hospital-grade anti-viral solution to disinfect every surface, as well as the lobby and elevator banks accessing our floor.

Swahili

walitumia myeyusho wa kuua virusi unaotumiwa hospitalini ili kutakasa kila mahali, hata pia ukumbini na ngazi zinazofikia sakafu yetu.

Last Update: 2020-08-25
Usage Frequency: 1
Quality:

English

uganda's internet penetration rate is a little over six percent, a number that prevents large swaths of the population from joining uganda's blogren or accessing the global blogosphere.

Swahili

inakadiriwa kuwa matumizi na kuenea kwa intaneti nchini uganda ni kwa kiwango cha asilimia sita tu, idadi ambayo inazuia sehemu kubwa ya watu kujiunga na ulimwengu wa blogu nchini uganda au kuweza kuwasiliana na ulimwengu wa blogu duniani.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

English

and according to activists on the ground, the government retaliated by 'hijacking' the email accounts of activists, including lawyers and journalists, and accessing their blogs and social networking sites, such as on facebook, and deactivating them.

Swahili

na kwa mujibu wa wanaharakati waliopo nchini humo, serikali ilijibu mashambulizi kwa ‘kuziteka’ anuani za barua pepe za wanaharakati, ikiwa ni pamoja na zile za wanasheria na za waandishi, na kuweza kuzitumia blogu zao na mitandao ya kijamii, kama vile facebook,na kuzizuia zisiweze kufanya kazi.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Get a better translation with
8,763,560,584 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK