From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
and they conspired an immense conspiracy.
na wakapanga vitimbi vikubwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and you were not with them when they put together their plan while they conspired.
na hukuwa pamoja nao walipo azimia shauri yao, walipo fanya njama zao wakizua vitimbi.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
indeed, this is a conspiracy which you conspired in the city to expel therefrom its people.
hizi ni njama mlizo panga mjini mpate kuwatoa wenyewe.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
these are accounts from the unseen, which we reveal to you, and you were not with them when they conspired together and schemed.
hizi ni katika khabari za ghaibu tulizo kufunulia. na hukuwa pamoja nao walipo azimia shauri yao, walipo fanya njama zao wakizua vitimbi.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
will you not fight against those who have broken their oaths and conspired to banish the messenger? they were the first to attack you.
je, hamtapigana na watu walio vunja viapo vyao na wakawa na hamu ya kumfukuza mtume, nao ndio walio kuanzeni mara ya kwanza?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
have you not considered those who were forbidden to conspire, but reverted after a time to what was forbidden them, and conspired evil, rebellion and disobedience to the prophet?
kwani huwaoni wale walio katazwa kunong'onezana kisha wakayarudia yale yale waliyo katazwa, na wakanong'ona juu ya mambo ya dhambi, na ya uadui, na ya kumuasi mtume?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and the disbelievers conspired (to kill eisa), and allah covertly planned to destroy them; and allah is the best of secret planners.
na makafiri walipanga mipango na mwenyezi mungu akapanga mipango, na mwenyezi mungu ndiye mbora wa wenye kupanga.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
those who have gone before them had also conspired; then god uprooted their structure from its foundation; the roof fell over them from above, and punishment came upon them from somewhere they did not suspect.
walipanga vitimbi walio kuwa kabla yao, mwenyezi mungu akayasukua majengo yao kwenye misingi, dari zikawaporomokea juu yao, na adhabu ikawajia kutoka wasipo kujua.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and they say, “we have obeyed”; and when they go away from you, a group of them spend the night conspiring against what they had said; and allah records what they conspired by night; therefore o dear prophet (mohammed – peace and blessings be upon him) avoid them and rely upon allah; and allah is sufficient as a trustee (of affairs).
lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema. na mwenyezi mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia njama za usiku.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: